Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
kumbe hadi mkumbashe kupeana nafasiii....wenzenu weupe hawakumbushani kujaliana na kupendana na kuwa wazalendo they are automaticaly driven with loyality spirit,Angalia fox news ndo uone thamani ya mweusi kwa mzungu ikoje au nenda libya ndo utajua thamani ya mweusi kwa mwarabu ikoje. Tupeane nafasi sis kwanza ndo tuwape wengine
black africans mtaendelea kunyanyaswa hadi Yesu anarudi kwa akili zenu za ivo.