Jana France imeumizwa na watu weusi kama ilivyoumizwa england mwaka jana.
Nashindwa kufahamu tatizo ni nini, siku zote pakishakuwa na mikwaju ya penalty ukiona wabantu wanasogelea sogelea mpira ni maharibiko tu yatakayotokea.
Hivi ni kweli kuwa mtu mweusi amelaanika?
Nashindwa kufahamu tatizo ni nini, siku zote pakishakuwa na mikwaju ya penalty ukiona wabantu wanasogelea sogelea mpira ni maharibiko tu yatakayotokea.
Hivi ni kweli kuwa mtu mweusi amelaanika?