Watu weusi tunakwama wapi?

Watu weusi tunakwama wapi?

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Jana France imeumizwa na watu weusi kama ilivyoumizwa england mwaka jana.

Nashindwa kufahamu tatizo ni nini, siku zote pakishakuwa na mikwaju ya penalty ukiona wabantu wanasogelea sogelea mpira ni maharibiko tu yatakayotokea.

Hivi ni kweli kuwa mtu mweusi amelaanika?
 
Haohao weusi unaowadis ndo wamepindua meza ndani ya dakika mbili baads ya weupe akna Giroud, Griezman n.k kushindwa kazi. Sasa unawalaumu nn. Japan penalty zao zote zilidakwa, spain nae penalty zake zilidakwa na zingine kupotea, nao weusi?
 
Haohao weusi unaowadis ndo wamepindua meza ndani ya dakika mbili baads ya weupe akna Giroud, Griezman n.k kushindwa kazi. Sasa unawalaumu nn. Japan penalty zao zote zilidakwa, spain nae penalty zake zilidakwa na zingine kupotea, nao weusi?

Mbappe ni mzungu
 
Usiwalaumu weusi wale ndio wamesaidia timu
 
Back
Top Bottom