Asante kwa taarifa Baharia wa BuzaJaman nawapenda saana,yaan nkiwaga nmechoka,akili ikihitaj kubrudika napitia jamii forum kuna kila kitu
Ivyo nawapenda saana
Gongo unatumia[emoji848]?Jaman nawapenda saana,yaan nkiwaga nmechoka,akili ikihitaj kubrudika napitia jamii forum kuna kila kitu
Ivyo nawapenda saana
Dah.... source?[emoji2960]Jaman nawapenda sana,yaani nikiwaga nimechoka,akili ikihitaji kuburudika napitia JamiiForums kuna kila kitu, hivyo nawapenda saana.
Ni pombe aina ya vodka iliyovundikwa kwa majani ya vitunguu swaumuNdio Nn ?
Yap,halafu ikichanganyikana na mawazo ya Corona na maandamano ya Marekani basi mtu huaribikiwa sana.Tena!!!
Dah hilo swali lako ukichanganya na avatar yako basi burudani tupu!Gongo unatumia[emoji848]?
[emoji850]Dah hilo swali lako ukichanganya na avatar yako basi burudani tupu!