Watu wote wa JamiiForums pitia hapa

namriny ingia pm kuna ujumbe wako
 
watu wote wa JF wangeitana kuja kwenye huu uzi iwapo kila mwanaume anayefika hapa ungekuwa unampa aidha busu la shavu au kumbato na kwa kina dada unawapa chocolat ya Bounty.

Basi hayo mahaba uliyo nayo juu ya wana JF yangekujaa na kufurika mara kedekede bin mingimingi.

Ukimuona Le Big Sam ODM mwenyewe utamsabahi.

Mwambie kifaa chake alikisahau kwangu nnacho.

K' Matata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…