"watuhumiwa" wa kashfa za IPTL na RICHMOND kutoa ushahidi dhidi ya Mramba.

"watuhumiwa" wa kashfa za IPTL na RICHMOND kutoa ushahidi dhidi ya Mramba.

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..upande wa mashtaka umetoa majina ya wananchi 17 watakaotoa ushahidi dhidi ya Mramba,Yona,na Mgonja.

..kati yao yume Maria Kejo ambaye amekuwa akitajwa sana ktk kashfa ya IPTL.

..pia yupo Bashiri Mrindoko ambaye aliandikwa vibaya ktk ripoti ya Tume ya Dr.Mwakyembe.

..I hope hawa mashahidi hawatavurugwa huko mahakamani kutokana na matatizo yao ya IPTL na RICHMOND.

NB:

..kwa upande mwingine naona kama kesi hii ni ngumu sana kwa wakina Mramba. sitashangaa kama wote watapatikana na hatia.
 
..upande wa mashtaka umetoa majina ya wananchi 17 watakaotoa ushahidi dhidi ya Mramba,Yona,na Mgonja.

..kati yao yume Maria Kejo ambaye amekuwa akitajwa sana ktk kashfa ya IPTL.

..pia yupo Bashiri Mrindoko ambaye aliandikwa vibaya ktk ripoti ya Tume ya Dr.Mwakyembe.

..I hope hawa mashahidi hawatavurugwa huko mahakamani kutokana na matatizo yao ya IPTL na RICHMOND.

NB:

..kwa upande mwingine naona kama kesi hii ni ngumu sana kwa wakina Mramba. sitashangaa kama wote watapatikana na hatia.


hayo maoni yako yangesubiri ushahidi uanze kutolewa mzee

macinkus
 
Macinkus,

..jamaa wana wakati mgumu kwasababu maamuzi yao hayakushirikisha baraza la mawaziri.
 
..upande wa mashtaka umetoa majina ya wananchi 17 watakaotoa ushahidi dhidi ya Mramba,Yona,na Mgonja.

..kati yao yume Maria Kejo ambaye amekuwa akitajwa sana ktk kashfa ya IPTL.

..pia yupo Bashiri Mrindoko ambaye aliandikwa vibaya ktk ripoti ya Tume ya Dr.Mwakyembe.

..I hope hawa mashahidi hawatavurugwa huko mahakamani kutokana na matatizo yao ya IPTL na RICHMOND.

NB:

..kwa upande mwingine naona kama kesi hii ni ngumu sana kwa wakina Mramba. sitashangaa kama wote watapatikana na hatia.

Mkuu utasubiri sana mpaka hiyo hatia iwakute kesi hizi zimekua designed ili hao wakuu washinde... tusubiri tuone
 
hiyo sawa na kesi ya nyani shahidi ngedere, inakuwaje fisadi awe na shahidi fisadi
 
Back
Top Bottom