Watuhumiwa waiomba Mahakama kuwapangia Gereza la Keko wakidai ni zuri na safi

Watuhumiwa waiomba Mahakama kuwapangia Gereza la Keko wakidai ni zuri na safi

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Washitakiwa wawili wanaotuhumiwa kukutwa na vipande tisa vya meno ya ndovu yenye thamani ya dola za Marekani 30,000, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iwapangie Gereza la Keko kwa kuwa ni pazuri na pana usafi.

Washtakiwa hao ni Hassan Sangari (22), mkazi wa Kingula mkoani Dodoma na Nassoro Mbuguni, mkazi wa Kibasila, Pwani ambao pia wameiomba mahakama wapewe vitu vyao vilivyopotea katika Kituo Kikuu cha Polisi mkoani Dares Salaam.

Sangari na Mbuguni walidai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi wa mahakama hiyo baada ya kusomewa shtaka moja la kukutwa na nyara za serikali na Wakili wa Serikali Faraja Ngukah.

Baada ya Ngukah kumaliza kuwasomea shtaka lao, washtakiwa walinyoosha vidole na kumwomba Hakimu Shaidi kuwapangia mahabusu ya Gereza la Keko kwa kuwa ni pazuri na pana usafi wa hall ya juu, pia wameshapata marafiki ambao wanawasaidia sabuni na vitu vingine.

Chanzo: Nipashe
 
Washitakiwa wawili wanaotuhumiwa kukutwa na vipande tisa vya meno ya ndovu yenye thamani ya dola za Marekani 30,000, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iwapangie Gereza la Keko kwa kuwa ni pazuri na pana usafi.

Washtakiwa hao ni Hassan Sangari (22), mkazi wa Kingula mkoani Dodoma na Nassoro Mbuguni, mkazi wa Kibasila, Pwani ambao pia wameiomba mahakama wapewe vitu vyao vilivyopotea katika Kituo Kikuu cha Polisi mkoani Dares Salaam.

Sangari na Mbuguni walidai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi wa mahakama hiyo baada ya kusomewa shtaka moja la kukutwa na nyara za serikali na Wakili wa Serikali Faraja Ngukah.

Baada ya Ngukah kumaliza kuwasomea shtaka lao, washtakiwa walinyoosha vidole na kumwomba Hakimu Shaidi kuwapangia mahabusu ya Gereza la Keko kwa kuwa ni pazuri na pana usafi wa hall ya juu, pia wameshapata marafiki ambao wanawasaidia sabuni na vitu vingine.

Chanzo: Nipashe
Kumbe gereza keko ni pazuri sana,kwamaisha haya ya uraiani yalivyo magumu bora tukimbilie jela
 
Keko kuna unafuuu kuliko Segerea kama mnamkumbuka Dickson Maimu aliyekua NIDA akafanya ubadhirifu&ufisadi Magufuli alihakikisha jamaa anaenda Segerea na si Keko.
 
Washitakiwa wawili wanaotuhumiwa kukutwa na vipande tisa vya meno ya ndovu yenye thamani ya dola za Marekani 30,000, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iwapangie Gereza la Keko kwa kuwa ni pazuri na pana usafi.

Washtakiwa hao ni Hassan Sangari (22), mkazi wa Kingula mkoani Dodoma na Nassoro Mbuguni, mkazi wa Kibasila, Pwani ambao pia wameiomba mahakama wapewe vitu vyao vilivyopotea katika Kituo Kikuu cha Polisi mkoani Dares Salaam.

Sangari na Mbuguni walidai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi wa mahakama hiyo baada ya kusomewa shtaka moja la kukutwa na nyara za serikali na Wakili wa Serikali Faraja Ngukah.

Baada ya Ngukah kumaliza kuwasomea shtaka lao, washtakiwa walinyoosha vidole na kumwomba Hakimu Shaidi kuwapangia mahabusu ya Gereza la Keko kwa kuwa ni pazuri na pana usafi wa hall ya juu, pia wameshapata marafiki ambao wanawasaidia sabuni na vitu vingine.

Chanzo: Nipashe
Segerea pia Ni pazuri sikuiz,

Tofauti ya gereza la keko na segerea,

Keko hata mvua ikinyesha mne ndani kwenye vyumba wanavyolala mahabusu ni joto kali Sana, uzuri wa keko Ni wepesi tu wakufanya mawasiliano na ndugu na jamaa,

Na kwakuwa kesi yao watakaa mahabusu zaidi ya miaka minne,kunawafaa kupanga kesi yao kimawasiliano,

Segerea zamani maji yalikuwa ya tabu,sikuiz nasikia maji yapo ya kumwaga,kuna mtu anaitwa Chonji nasikia alitoa msaada wa kuchimba visima, na kingine segerea hakuna joto Kama gereza la keko,

Hila mawasiliano segerea ni kwa mbinde,

NB; ikikupendeza mh. Naitwa John shabaluanga, Ni wakili wa janihuri mwandamizi😎
 
Si wahenga walisema mfungwa hachagui gereza imekuaje sasa?
 
Baada ya Ngukah kumaliza kuwasomea shtaka lao, washtakiwa walinyoosha vidole na kumwomba Hakimu Shaidi kuwapangia mahabusu ya Gereza la Keko kwa kuwa ni pazuri na pana usafi wa hall ya juu, pia wameshapata marafiki ambao wanawasaidia sabuni na vitu vingine.

Chanzo: Nipashe
Vijana wanapenda vya bure, ona tayari wameshapa wataalam wa kuwahudumia
 
Back
Top Bottom