Watumia Fitbit wote kulazimika kuwa na akaunti za Google 2023

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826

Kuanzia mwaka 2023; watumiaji wa smartwatch za Fitbit watalazimika kutumia akaunti ya Google katika kujisajili kwenye vifaa vya Fitbit - smartwatches na fitness trackers.

Fitbit ni brand kubwa ya smartwatch ambayo ina mfumo wake wa kufungua akaunti katika vifaa vyake; lakini ilikuja kununuliwa na Google tangu mwaka 2021 kwa dola Bilioni 2.1. Fitbit brand kubwa sana katika smartwatch (saa-janja); na ilikuwa inashika nafasi kubwa kwa kuwa na watumiaji wengi baada ya Apple Watch.

Fitbit imesema watumiaji wake wataanza kutumia akaunti ya Google kuanzia mwaka 2023; na mwaka 2025 akaunti zote za Fitbit Acount ambazo watumiaji walikuwa wanatakiwa kufungua zitafungwa na zitabaki za Google tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…