Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Asalaam aleikum. Kila siku kuna watumiaj wapya wa mitandao mbalimbali ya kijamii na internet kwa ujumla. Nichukue ukurasa huu tusaidiane kujua mitandao yenye faida kwa kila mpenda habar, maono, hekma na mambo ya kufaidisha kupitia simu ya mhusika.
Wengine wanakuwa na hamu tu ya kumilik simu janja akishaipata anakosa kufaidi kwa kutokujua wapi aelekeze bundle lake kwa tija. Anaishia kupekua watu facebook. Mi naanza
1. Jamiiforum
2. Milard ayo
3. Dr K N Jacob[facebook]
Wengine wanakuwa na hamu tu ya kumilik simu janja akishaipata anakosa kufaidi kwa kutokujua wapi aelekeze bundle lake kwa tija. Anaishia kupekua watu facebook. Mi naanza
1. Jamiiforum
2. Milard ayo
3. Dr K N Jacob[facebook]