Cha ajabu wana watazamaji kibao sijui huwa wanatoka wp ikiwa kila mtu haangaliiHapa hakuna hata mmoja atataja ile hub pendwa...
Yah,kuna ripoti flani ya kiuchunguzi nmeisahau tu jina,walisema kuwa porn sites ndio zinazoongoza kutembelewa Mara nyingi hapa duniani kuliko sites zozote .wakaongeza kuwa watu wengi jambo hilo linabaki mioyoni mwao tu.Cha ajabu wana watazamaji kibao sijui huwa wanatoka wp ikiwa kila mtu haangalii
Ule ni uraibu blazaCha ajabu wana watazamaji kibao sijui huwa wanatoka wp ikiwa kila mtu haangalii
Tatzo la ukweli ni hata uuchanganyie na nini bado utatokelezea tu. Nature ndo ukweli wenyewe. Kanuni za kibinadam kwa mgongo wa sheria za Muumba ndo zinatuhangaisha. Na kwavile hizo sites zinaonekana kutokuwa na baraka za Mungu kimaandiko ya watu wenye busara zao, inabid nature iendelee kutokelezea kwa hao watu kuangalia kwa uficho! Love, sex, na sexual intercourse ni nature. Ni kani asili. Ni mkondo. Busara zinapambana kila siku kuimonitor lakin kaz ngum.Cha ajabu wana watazamaji kibao sijui huwa wanatoka wp ikiwa kila mtu haangalii