Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Hichi kinywaji kadili siku zinavyozidi kwenda kinazidi kupata umaarufu mkubwa hasa kwa vijana mida ya jioni wengi wameachana na kahawa wamehamia huku kwenye alkasusu
Ukisikiliza story za vijiweni vijana wanakuambia kinywaji hichi kinasaidia kudumisha ufanyaji wa tendo la ndoa kwa muda mrefu
Tunakumbuka pia dawa ya kupaka vumbi la mkongo ilikuwa inasifa kama hizo lakini mwisho ilikuja kufungiwa na mwenyekiti wa tiba asili na mbadala huku sababu za kufungiwa ni baada yakufanyiwa vipimo dawa hiyo nakugundulika imekuwa inachanganywa na dawa ya viagra au erecto
Nchi zilizoendelea ni ngumu kuingiza kila kitu hasa katika madawa ya binadamu ni vyema ufanyike uchunguzi katika kinywaji hicho ili kubaini kama ni salama kwa watumiaji
Ukisikiliza story za vijiweni vijana wanakuambia kinywaji hichi kinasaidia kudumisha ufanyaji wa tendo la ndoa kwa muda mrefu
Tunakumbuka pia dawa ya kupaka vumbi la mkongo ilikuwa inasifa kama hizo lakini mwisho ilikuja kufungiwa na mwenyekiti wa tiba asili na mbadala huku sababu za kufungiwa ni baada yakufanyiwa vipimo dawa hiyo nakugundulika imekuwa inachanganywa na dawa ya viagra au erecto
Nchi zilizoendelea ni ngumu kuingiza kila kitu hasa katika madawa ya binadamu ni vyema ufanyike uchunguzi katika kinywaji hicho ili kubaini kama ni salama kwa watumiaji