Msinikumbushe siku ya kwanza kutumia mmea niliishia kulala njaa,
Yaani kila nikipeleka mkono kwenye sahani ya chakula ambayo niliiona iko karibu lakini nikawa siifikii, matokeo yake nikawa kama naitisha sahani na watu kuanza kunishangaa matokeo yake nikanawa na kuishilizia zangu .