Ngoja kwanza nianze nilipo ishia jana sikutegemea kama huu uzi utafikia hukuπππSoma huko juu wii ujionee wanawake wajinga wanavyojizalilisha yani miaka hii ya kuzamia sherehe na kuomba kupiga picha na oppo?? Halafu wanamkataza kanuna hasira anamalizia JF na huku wamemchunia ππππ
Utajichosha hana jipya ni mzamiaji wa sherehe za watu ππππNgoja kwanza nianze nilipo ishia jana sikutegemea kama huu uzi utafikia hukuπππ
Ndo chakushangazaNyuzi za kuziponda iPhone ni nyingi humu, Nyuzi za kujilinganisha na iPhone ni nyingi pia . Ni kweli apple wana tatizo au ni inferiority complex (Kujistukia) au shida ni nini ? Pia Kwa nini mtu usiridhike tu na simu /brand unayotumia yaan ukawa comfortable kabisa ukaachana na kuchungulia simu za wenzio ? Whatβs wrong hapa
ππππyaani Iphone ulinganishe na simu nyingineπ³πππAnatia huruma mpika chai hebu aweke ya oppo km haijaonyesha ukungu na kiza km sehemu aliyopo ina vuli π€£π€£π€£π€£
Kila mtu anamshangaa humu kwa walivyomshangaa kwenye sherehe π€£π€£π€£π€£ππππyaani Iphone ulinganishe na simu nyingineπ³πππ
Huyu anatafuta wa kumuonea huruma ampe iphone kijanja nyie hamjajua tyuuu πππWewe mi mjinga sana. Quality ya materials na tech zilizotumika kwenye Iphone ni za viwango vya juu sana kuliko simu zote. Huwezi kulinganisha Iphone na Oppo. Iphone ipo kwenye ligi ya kipekee mkuu kwa kila namna
Sherehe gani hiyoπππKila mtu anamshangaa humu kwa walivyomshangaa kwenye sherehe π€£π€£π€£π€£
Mimi ninazo tatu kama atakubali nitampa bure ili atupunguzie kelele humuπHuyu anatafuta wa kumuonea huruma ampe iphone kijanja nyie hamjajua tyuuu πππ
Ya ofisi za mabus anakofagia na kupanga mizigo π€£π€£π€£π€£Sherehe gani hiyoπππ
mpaka mabaamedi siku hizi wana iphone macho matatu, sijui ni simu fake za bei chee au vpNakubaliana na hoja yako.
Cha ajabu wanawake wenye Iphone hawana hata kazi wala biashara....sijui wanazipataje hapa mjini.
Au kuna sehemu wanagawa bure?