Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Sawa ukaniombee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ukaniombee
😀😀 Sawa braza
kuja Miti mirefu bwana pamenogaAnanipigia kelele za kuja kulewa kimara kweli jamani zamani tunakuja wote kimara narudi nae ananirudisha mpaka nyumbani sasa hivi narudije peke yangu
mind ur business mkuuKuna member humu wanadai wapo states na Europe wakati wapo hapahapa bongo Kigogo Mburahati,Buza,Tandale kwa Tumbo n,k.
Wengine hapa jf na stori za kudrive na story za kumiliki michuma ya nguvu,kumbe cheche uwongo mtupu.
Umesema kweli tupu.mind ur business mkuu
Hata kama wanaongopa haikusaidii kitu
Nina boonge la deal, hebu nitafute[emoji12][emoji12][emoji12]For deals yeah, why not. For mere acquaintances nah! I guess I'm done meeting new fellas just for the sake of it!
..wewe tena mtu wangu! Haya nipange...Nina boonge la deal, hebu nitafute[emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..wewe tena mtu wangu! Haya nipange...
@wa stendi? Tuheshimiane ujueKila member anashika "MABANGO YA MAJINA YAO", kama tax driver wa airport au wa stendi za basi wanotumwa kuwapokea watu wasiowajua.
Binafsi, ningetamani nikutane na Pascal Mayalla nimpe;
1) Kongole za kutafuta uteuzi kwa nguvu ya kusifia visivyo sifika.
2) Na pole ya kuukosa uteuzi.
😂😂😂 kama kazingua acha ale za uso.Kuna avatar hutoamini utakapo kutana nazo unaweza ukazimia mwaka mzima, utashangaa kitoto cha mwaka 2005 kinamtukana kijana wa kale wa mwaka 1960,
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Same to you love.[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Happy holidays my dear!!
Nipo kama utakuwa na nafasi tukutane Serena Hotel for Dinner leo