Watumiaji wa mtandao wa X wamefilisika kifikra au?

Watumiaji wa mtandao wa X wamefilisika kifikra au?

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
ab8c8604950bebe7ef20ddd07325bb93.jpg

Picha: Pinterest
Mimi nimeanza kutumia X kwa sasa toka 2017. Niliheshimu mtando huu sana kwa habari nzuri na kwa ufupi kutokwa kwa watu mbalimbali.

Leo hii unaingia X unakuta ndio watu wanaongoza kwa kusambaza video za ngono pamoja na kudhalilisha watu na mwisho naweza sema Facebook ni mtandao wa watu wastaarabu sana.

Jambo lingine ni tabia ya uchochezi wa taarifa hili ni kwamba watu wanasambaza taarifa za uongo kuchafua taswira ya mtu au watu na hili vijana wengi wa X wanaongozwa na hisia kuliko ukweli wa mambo.

Soma Pia: Netblocks: Mtandao wa X (Twitter) umepigwa pini nchini Tanzania

Pia, niwapongeze wale ambao wameendelea kutumia X katika kusaidiana na kujenga jamii kwa maandiko yao.

Hivyo nauliza huko X ni wanafunzi wa darasa la saba au watu wasomi?
 
Kila kitu ulichoandika hapa siyo cha kweli,, me ni mtumiaji wa x (twitter) since 2014 lakini kuhusu ulichoandika hapa napingana nacho kabisa.

Unachopendelea kufuatilia zaidi ndicho kitakachokuwa kinaonekana sana upande wa Tl yako 😎🤝🏽
 
View attachment 3154876
Picha: Pinterest
Mimi nimeanza kutumia tweeter au X kwa sasa toka 2017. Niliheshimu mtando huu sana kwa habari nzuri na kwa ufupi kutokwa kwa watu mbalimbali.

Leo hii unaingia X unakuta ndio watu wanaongoza kwa kusambaza video za ngono pamoja na kudhalilisha watu na mwisho naweza sema Facebook ni mtandao wa watu wastaarabu sana.

Jambo lingine ni tabia ya uchochezi wa taarifa hili ni kwamba watu wanasambaza taarifa za uongo kuchafua taswira ya mtu au watu na hili vijana wengi wa X wanaongozwa na hisia kuliko ukweli wa mambo.

Soma Pia: Netblocks: Mtandao wa X (Twitter) umepigwa pini nchini Tanzania

Pia, niwapongeze wale ambao wameendelea kutumia X katika kusaidiana na kujenga jamii kwa maandiko yao.

Hivyo nauliza huko X ni wanafunzi wa darasa la saba au watu wasomi?
1. Kwanza ilikua inaitwa Twitter na sio Tweeter.

2. Mitandao ya kijamii ina kitu kinaitwa Algorithm, hii inafutilia vitu unavyovipenda inakuletea. Sasa ukiona unaletewa picha za X ujue unazipenda mwenyewe na unazitafta mwenyewe wala usilaumu mtu.

Yaani upende mwenyezi X, mtandao ukuelewe unachokipenda ukuletee halafu uulaumu mtaandao, kweli?

Endelea kufurahia mizagamuano mkuu usijifiche kwenye mchanga.
 
1. Kwanza ilikua inaitwa Twitter na sio Tweeter.

2. Mitandao ya kijamii ina kitu kinaitwa Algorithm, hii inafutilia vitu unavyovipenda inakuletea. Sasa ukiona unaletewa picha za X ujue unazipenda mwenyewe na unazitafta mwenyewe wala usilaumu mtu.

Yaani upende mwenyezi X, mtandao ukuelewe unachokipenda ukuletee halafu uulaumu mtaandao, kweli?

Endelea kufurahia mizagamuano mkuu usijifiche kwenye mchanga.
Nahis hujaelewa hoja yangu. Ila watu wa X hawatk ten kufikiria na kila wanacholetewa hawachambui ni kusambaza tu
 
View attachment 3154876
Picha: Pinterest
Mimi nimeanza kutumia X kwa sasa toka 2017. Niliheshimu mtando huu sana kwa habari nzuri na kwa ufupi kutokwa kwa watu mbalimbali.

Leo hii unaingia X unakuta ndio watu wanaongoza kwa kusambaza video za ngono pamoja na kudhalilisha watu na mwisho naweza sema Facebook ni mtandao wa watu wastaarabu sana.

Jambo lingine ni tabia ya uchochezi wa taarifa hili ni kwamba watu wanasambaza taarifa za uongo kuchafua taswira ya mtu au watu na hili vijana wengi wa X wanaongozwa na hisia kuliko ukweli wa mambo.

Soma Pia: Netblocks: Mtandao wa X (Twitter) umepigwa pini nchini Tanzania

Pia, niwapongeze wale ambao wameendelea kutumia X katika kusaidiana na kujenga jamii kwa maandiko yao.

Hivyo nauliza huko X ni wanafunzi wa darasa la saba au watu wasomi?
Ndio kizazi cha zama hizi mkuu. Hata topic za jf sisi tuliojiunga 2010 tunajua si za sasa. Mind you hii id yangu ya recently ya 2010 sio hii.
 
Matakataka yashavamia huko, ni kama JF tu kipindi cha nyuma ilikuwa na watu smart sana na hata wale vilaza walikuwa na mipaka yao, lkn kwa sasa kumechafukwa vibaya.

Ni aina tu ya wajinga waliokosa contents kichwani basi wanaamua kupost kila aina ya mawazo yao wakitafta engagement kwa lazima.

Kwa sasa mtandao wa X ukiingia ukascroll nusu saa hujakutana na picha za uchi/contents za ngono basi shukuru sana.

Kwa Tanzania hii members wenye ushawishi huko X karibia 70% ni hao hao vijana wasio wastaarabu, wenye lugha chafu, uchochezi, wasambazaji maudhui ya hovyo, ngono na ujinga mtupu.

Kwa sasa hakuna tofauti kati ya instagram na X kimaudhui kwa upande wa Bongo, maana kote udaku,umbea wanashare, kinachosaidia kubalance maudhui angalau kuna baadhi ya watu wachache sana waliobase kwenye siasa angalau wanatoa ahueni ya maudhui.

Miaka 5 ijayo x itakuwa porn site/mtandao wa watu kujiuza, mtandao wa hovyo kuliko.

Sio mbaya ndio aina ya raia na akili zao tulio nao nchini, ambao ndio hawa hawa mitaani wanaojifanya kondoo kumbe mafichoni(nyuma ya keyboard) ni majangiri

Imagine kuna nyuzi zinaitwa WATOTO WAMELALA THREAD, huko ni hatari kabisa
 
Mkuu jibu swali, X unapenda ama hupendi? Kama hupendi X unazionaje?
Sasa kama huko X umewafollow watanzania fulan fulan ambao unaamini ni watu smart, then kumbe wanamaudhui ya hovyo hivi hutoona hizo contents zao za hovyo kisa huzipendi?

Kule tukubali kumeshavamiwa na hata wale wanaoonekana wastarabu nao wanamaudhui ya hovyo, kama vile kusapoti usambazwaji wa video za ngono wao wakiita connection, usambazaji wa chuki dhidi ya watu wengine, lugha chafu kule ndiko mahala pake, kiufupi kule hakuna ustaarabu wowote, huenda hata facebook&instagram kuna unafuu.

X hakuna controll ya maudhui tofaut na mitandao mingine, uhuru wa aina ile kwa mtanzania ni mbaya sana
 
Sasa kama huko X umewafollow watanzania fulan fulan ambao unaamini ni watu smart, then kumbe wanamaudhui ya hovyo hivi hutoona hizo contents zao za hovyo kisa huzipendi?

Kule tukubali kumeshavamiwa na hata wale wanaoonekana wastarabu nao wanamaudhui ya hovyo, kama vile kusapoti usambazwaji wa video za ngono wao wakiita connection, usambazaji wa chuki dhidi ya watu wengine, lugha chafu kule ndiko mahala pake, kiufupi kule hakuna ustaarabu wowote, huenda hata facebook&instagram kuna unafuu.

X hakuna controll ya maudhui tofaut na mitandao mingine, uhuru wa aina ile kwa mtanzania ni mbaya sana
Nashukuru mkuu. Ngoja nikasafishe
 
Back
Top Bottom