Hongera sana, maana nasikia huwa ni vigumu sana kwa mvuta sigara kuachaNilikuwa addicted sana na hiyo makitu kwa zaidi ya miaka 20, namshukuru sana sana sana Mwenyezi Mungu nilifanikiwa kuacha kuvuta sigara kwa zaidi ya miaka 10 sasa
Bado kitu kingine inabidi ujitahidi uacheNilikuwa addicted sana na hiyo makitu kwa zaidi ya miaka 20, namshukuru sana sana sana Mwenyezi Mungu nilifanikiwa kuacha kuvuta sigara kwa zaidi ya miaka 10 sasa
MhUbalozi inapendeza zaidi mana ni nusu weed
HahahahMkuu hii miaka ya kuvuta na kuacha inadhihirisha kabisa uhenga wako, nakusalimu ndugu [emoji137]
AiseeeeHahah!! Ile kweli popote mwanzo popote mwisho ni nzuri kama kiungo ila ukijaribu yenyewe pia ina nguvu ya ushawishi sana
Hivi uzuri/ utamu wa sigara ni nini?Mm sio mvutaji lakini naonja kwa mwaka Mara 2 na kwa matukio maalumu,..naipenda sana ubalozi(embassy) na Carmel[emoji6] nikikosa basi sports.
Ubalozi inapendeza zaidi mana ni nusu weed
Yaani hata sijui nikuelezeeje dia,.ila ina stimu flani hivi yaani tamu si tamu hahaha...kama pombe tuu uchungu ndio utamu wenyewe....Hivi uzuri/ utamu wa sigara ni nini?
Mimi sijawahi kuvuta ila huwa napenda sana harufu ya moshi wake.
Hawa wabibi sijui kwann wanapenda hizi nyota mana mwenyewe kitaa kuna bibi huwa ananunua nyota na magadi anachanganya afu anaweka mdomoni kama ugoroKuna kibibi flani kilikuwa kinapenda kweli kutumia hii kitu sanaa,.yani yule ni bange kabisaaa
Aah! Ulikua unapiga vitu?Uvutaji wa sigara umenikumbusha enzi za kujanjaruka aisee
Haahhaahah hao weed wanakula piaHawa wabibi sijui kwann wanapenda hizi nyota mana mwenyewe kitaa kuna bibi huwa ananunua nyota na magadi anachanganya afu anaweka mdomoni kama ugoro
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe ina stimu. Nakumbuka rafiki yangu mmoja alikuwa akiudhiwa hapoi mpaka avute sigara kwanza. Mdada ni mzuri balaa na ni mpole huwezi amini.Yaani hata sijui nikuelezeeje dia,.ila ina stimu flani hivi yaani tamu si tamu hahaha...kama pombe tuu uchungu ndio utamu wenyewe....
[emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah
[emoji131][emoji131][emoji131]Aiseeee
Na me nasubiri jibuHivi uzuri/ utamu wa sigara ni nini?
Mimi sijawahi kuvuta ila huwa napenda sana harufu ya moshi wake.
Ina stimu flani hivi yaani daah,.basi bwana nisije nikaenda kwa mangi SAA hii[emoji16][emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe ina stimu. Nakumbuka rafiki yangu mmoja alikuwa akiudhiwa hapoi mpaka avute sigara kwanza. Mdada ni mzuri balaa na ni mpole huwezi amini.
Kupiga wapi ndugu!mh siku moja nimejikuta nina mawazo si nikaenda nunua embassy bana nikavuta vizuri..sasa kumbe Mama aliniona akakausha kimya..jioni akaja mpa taarifa Baba(R.i.p) ile siku ndio nilijuaga kumbe Baba nae hua ni mkali..kidogo nivunjweAah! Ulikua unapiga vitu?
Ni maamuzi tu....ukiamua kuacha unaweza kabisa....unaacha taratibu mpaka unaacha kabisa kwa kupunguza kiwango au idadi ya sigara na mwisho kuicha kabisa Ila tiba kubwa ni kuhakikisha unafanya kazi zitakazokufanya uvuje jasho kwa wingi kwa maana ya kupunguza kiasi cha nikotine ili kuondoa hamu ya sigara.....Hongera sana, maana nasikia huwa ni vigumu sana kwa mvuta sigara kuacha
Ile kuuvuta moshi na kuupuliza nje kwa swagger ni burudani tosha pia kichwani inaacha stim flan hv.... ila pia usisahau kwenye mapafu inaacha sumuHivi uzuri/ utamu wa sigara ni nini?
Mimi sijawahi kuvuta ila huwa napenda sana harufu ya moshi wake.
Hahaha!!Yaani hata sijui nikuelezeeje dia,.ila ina stimu flani hivi yaani tamu si tamu hahaha...kama pombe tuu uchungu ndio utamu wenyewe....
Mhenga mwenzangu bwana!.Nilikuwa addicted sana na hiyo makitu kwa zaidi ya miaka 20, namshukuru sana sana sana Mwenyezi Mungu nilifanikiwa kuacha kuvuta sigara kwa zaidi ya miaka 10 sasa
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji131][emoji131][emoji131]
Aisee pole sana rafiki kumbe wewe safari yako ya uvutaji ulilikatishwa mapema sanaKupiga wapi ndugu!mh siku moja nimejikuta nina mawazo si nikaenda nunua embassy bana nikavuta vizuri..sasa kumbe Mama aliniona akakausha kimya..jioni akaja mpa taarifa Baba(R.i.p) ile siku ndio nilijuaga kumbe Baba nae hua ni mkali..kidogo nivunjwe