Sipatani na moshi wa sigara kwahiyo unavutaIle kuuvuta moshi na kuupuliza nje kwa swagger ni burudani tosha pia kichwani inaacha stim flan hv.... ila pia usisahau kwenye mapafu inaacha sumu
Hahaha!!
NakaziaMhenga mwenzangu bwana!.
Asante kwa ushuhuda!! Kiukweli naumiaga sana kuona mtu anavuta sigara!!
Ebu malizia basiIna stimu flani hivi yaani daah,.basi bwana nisije nikaenda kwa mangi SAA hii[emoji16][emoji16]
Hizo ni dalili mbaya za kuvutaHivi uzuri/ utamu wa sigara ni nini?
Mimi sijawahi kuvuta ila huwa napenda sana harufu ya moshi wake.
Kumbe inabidi zoezi la kuacha liambatane na mazoezi au kazi za kutumia nguvu zaidi?Ni maamuzi tu....ukiamua kuacha unaweza kabisa....unaacha taratibu mpaka unaacha kabisa kwa kupunguza kiwango au idadi ya sigara na mwisho kuicha kabisa Ila tiba kubwa ni kuhakikisha unafanya kazi zitakazokufanya uvuje jasho kwa wingi kwa maana ya kupunguza kiasi cha nikotine ili kuondoa hamu ya sigara.....
Na bora nilivyokatisha mapema mkuu..ile siku nilikua najaribu tuAisee pole sana rafiki kumbe wewe safari yako ya uvutaji ulilikatishwa mapema sana
Ndugu, mumu na Daviet wanasema eti inatia stimu fulani amazingNa me nasubiri jibu
Hahaha shunie sweetheart we achana nayo tuu,..hiyo Mara 1 kwa mwaka naenjooooyy mwenyewe,.Ebu malizia basi
Hapana sivuti dia ila nazungukwa na wavutajiSipatani na moshi wa sigara kwahiyo unavuta
Hahah!! Hzo za kujaribu kiwizi wizi huwa haziishi harakaNa bora nilivyokatisha mapema mkuu..ile siku nilikua najaribu tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sipatani na moshi wa sigara kwahiyo unavuta
Kila mtu na starehe yake nilijaribishaga kuvuta shisha tumetoka rafiki zangu kila mtu na mtungi wake nawaona kabisa wanaenjoy nikasema na mm ngoja nijaribu naona moshi tu sijaona raha yoyoteNdugu, mumu na Daviet wanasema eti inatia stimu fulani amazing
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]Nakazia
Ni kweli, hata mama yangu alikuwa na wasiwasi kuwa ipo siku nitavuta. Lakini hapana nimekaa sana na wavutaji ila sijawahi kushawishika kuvuta. Naishia tu kufurahia harufu ya moshiHizo ni dalili mbaya za kuvuta
HahahahhHahaha shunie sweetheart we achana nayo tuu,..hiyo Mara 1 kwa mwaka naenjooooyy mwenyewe,.
Mh kwa kuruka tuHapana sivuti dia ila nazungukwa na wavutaji
Dada jamani ndio tunini hivyo[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kila mtu na starehe yake nilijaribishaga kuvuta shisha tumetoka rafiki zangu kila mtu na mtungi wake nawaona kabisa wanaenjoy nikasema na mm ngoja nijaribu naona moshi tu sijaona raha yoyote
Cheko mubashara cheko lina maana sana hili sababu nakufahamu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
MmmhNi kweli, hata mama yangu alikuwa na wasiwasi kuwa ipo siku nitavuta. Lakini hapana nimekaa sana na wavutaji ila sijawahi kushawishika kuvuta. Naishia tu kufurahia harufu ya moshi