Unakuwa hujamwambia kuwa kuna mwenzio nyumbani kwa iyo kuwa mlole ninapokata simuMichepuko: unaweza kukupigia na kukuta upo kwenye kwenye mazingira hatarishi (upo na waziri mkuu kwa mfano) na inabidi uikate ile simu. Badala ya mtu kujiongeza, unashangaa anapiga tena na tena na tenaaa😀
Mi hua nawaambia kabisa wakae wakijuaHarafu unakuta ni mwanaume [emoji3][emoji3]kuna washikaji zangu kama wawili huwa wananikera sana,unampa maelezo marefu kabisa na ya msingi harafu anakujibu k,p
Poa nitakuja na screen shot ..tupate msaadaAsante kwa comment yako ya kuelimisha boss kiukweli hiyo mambo ya backup mimi sielewagi..Please tell us more
Hahaaaa! Aibu Nadhani ndo sababuHaha inawezekana yupo sehemu ambayo kuna watu wengi na jambo lenyewe ni nyeti au anaona aibu kusema kwa mdomo
Haha boss naona kero zako zote tatu zinatulenga wanawake.Vitu vinavyoniboa
1. Wanawake kuamini kwamba wenyew hawanaga story bas kila siku anataka uanzishe stor wew.
2. Mtu unachat nae kitu fulan unaandika msg yenye maneno kadhaa yakiwemo maswali au umeandika msg tatu zote ana summarize kwa kukujibu kwa Emoji moja [emoji5]
3. Ulikuwa unachat na mtu labda kwa bahat mbaya akatoka or akapata shughuli nyingine na wew ndo ulikuwa wa mwisho kuandika msg na ilikuwa inakitu anachotakiwa kujibu akirud anajifanya kama hajakiona anaendelea na mambo mengine
Hatari sanakuna mtu anapiga ukipokea unasikia jamaa anaongea na watu wengine huko mpaka uanze kuita haloo haloo haloo.
Ukiona kimya piga simu ili upate majibu ya harakaKuna mambo huwa nachukulia kama dharau tu kwakweli, kumtumia mtu text inayohitaji majibu ya haraka then anakuja kukujibu baada ya siku 5, huwa natamani hata kutukana basi tu.
Na huo ndio uhalisiaHaha mwenza labda anakuwa hana vocha...kama ni jambo la haraka ni vema ukapiga
Hapa hata mie naumia sana natamani hata nikutukaneUnakuta sms
Vp
Unajibu : Poa
Anatuma:Nambie
Very boring
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haha boss naona kero zako zote tatu zinatulenga wanawake.
Hapa hata mie naumia sana natamani hata nikutukane
HahahahahaNyoko