Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
Sasa utafanya ndio ameshakata na simu ulipiga weweYani hapo uliponimention umepatia haswa. Yani unaishia kujiuliza huyu alikuwa na intention gani, maana haeleweki. Mwingine after series ya salamu kama tupo RTD anakwambia "nambie", sijui nimwambie nini.
Ole wako unikatie simu wakati sijaaga na mimi ndo nimekupigia, labda uwe mtu baki.