Watumiaji wa simu - mambo yanayokera

Watumiaji wa simu - mambo yanayokera

Yani hapo uliponimention umepatia haswa. Yani unaishia kujiuliza huyu alikuwa na intention gani, maana haeleweki. Mwingine after series ya salamu kama tupo RTD anakwambia "nambie", sijui nimwambie nini.
Ole wako unikatie simu wakati sijaaga na mimi ndo nimekupigia, labda uwe mtu baki.
Sasa utafanya ndio ameshakata na simu ulipiga wewe
 
Yani hapo uliponimention umepatia haswa. Yani unaishia kujiuliza huyu alikuwa na intention gani, maana haeleweki. Mwingine after series ya salamu kama tupo RTD anakwambia "nambie", sijui nimwambie nini.
Ole wako unikatie simu wakati sijaaga na mimi ndo nimekupigia, labda uwe mtu baki.
Ukiona mtu anakwambia niambie ujue huna story ama u suck katika maongezi unakaza sana hisia!
 
Ukiona mtu anakwambia niambie ujue huna story ama u suck katika maongezi unakaza sana hisia!
Jamani me mbona bonge la mshkaji, sikazagi unless kuna issue ya kukaza. Nafikiri kuna watu sijui tu ndo kutokujua kucommunicate..... salamu nyingi afu anachomeka "nambie"
 
Jamani me mbona bonge la mshkaji, sikazagi unless kuna issue ya kukaza. Nafikiri kuna watu sijui tu ndo kutokujua kucommunicate..... salamu nyingi afu anachomeka "nambie"
Hahaha hio nambie inakujaga kama pre-set tu, hata mie inantokaga sema nikiongea na mtu ambae anansikilizia mimi tu, how comes mtoto wa kike ukose story while 50% ya mafaili kichwani yametawalwa na umbea tu ha ha ha! Huwa kuna GF wangu flani yeye hanaga story yani anaboaje, mkishasalimiana hana jipya yani huwa simpigiagi anabaki ananimaindi tu ila kuna siku nilimchana unaboa aisee yani aheri kuchat tu, yani unakosaje story nsimulie hata za enzi za utotoni kwako yani!
 
Mimi huyu navyopenda kuchat.. na mara nyingi inatokea kwa mtu ambaye sina story naye, ndo tunazoeana. Watu niliowaozea know how crazy i am, huwa tunaenda straight kwenye habari, salamu ni wakati wa kuagana
Hahaha hio nambie inakujaga kama pre-set tu, hata mie inantokaga sema nikiongea na mtu ambae anansikilizia mimi tu, how comes mtoto wa kike ukose story while 50% ya mafaili kichwani yametawalwa na umbea tu ha ha ha! Huwa kuna GF wangu flani yeye hanaga story yani anaboaje, mkishasalimiana hana jipya yani huwa simpigiagi anabaki ananimaindi tu ila kuna siku nilimchana unaboa aisee yani aheri kuchat tu, yani unakosaje story nsimulie hata za enzi za utotoni kwako yani!
 
Hahaha hio nambie inakujaga kama pre-set tu, hata mie inantokaga sema nikiongea na mtu ambae anansikilizia mimi tu, how comes mtoto wa kike ukose story while 50% ya mafaili kichwani yametawalwa na umbea tu ha ha ha! Huwa kuna GF wangu flani yeye hanaga story yani anaboaje, mkishasalimiana hana jipya yani huwa simpigiagi anabaki ananimaindi tu ila kuna siku nilimchana unaboa aisee yani aheri kuchat tu, yani unakosaje story nsimulie hata za enzi za utotoni kwako yani!
Haha boss unashindwa kumtumia hata zile za 'baby umekula' au 'karibu tule' huu ni utoto mwingine huwa siufagilii hata
 
Haha boss unashindwa kumtumia hata zile za 'baby umekula' au 'karibu tule' huu ni utoto mwingine huwa siufagilii hata
Si unajua kuna madhara ukicheza dana dana na bomu la mkononi! Huko kuuliza umekula hahah labda kuwe na mpango wa kutuma pesa! Maana wachumba wa Dar hawana dogo yani
 
Wale wanakutumia message, Hi I'm Ibra nimepewa namba yako na mtu nilikuona nikamuuliza akaniambia anakujua akanipa namba. Namuuliza enhee kwahiyo nikusaidie nini na ni nani aliekupa namba yangu. Anaanza ooh tuonane utajua yote hayo. Sheeenzi unakula block moja takatifu.


Au mtu anapiga simu eti mi bf wako au namba yangu umefuta? Jibu huwa nina mabf wengi embu nikimbushe we ni yupi kati yao. Ukijizungusha nakata simu ukipiga sipokei na usipojitambulisha ndo inakua milele amina
Mnakataaga wachumba hivi×2 then baadae mnakuja kulalamika huku
 
Haha kiukweli mimi ukiona sina stori ya kukupigia usijisumbue na niambie zako ujue unaniboa tu nasubiri uage. Kuna kitu mimi huwa sikipendi..sitaki nikupigie mimi wewe ndio uwe wa kwanza kuaga huwa najihisi mnyonge sana kwa hiyo huwa natengeneza mazingira ya mimi kuaga kabla hatujafika huko kwenye niambie...naunganisha stori fasta fasta af ghafla nakuambia siku njema
Hahahah usimaindi sasa, kwangu mimi naaga tu mapema ila sasa unakuta boya anang'ang'ania kwahio hutaki kuongea na mimi au! Unabaki okay nambie,,,,
 
Back
Top Bottom