Watumiaji wa simu - mambo yanayokera

Watumiaji wa simu - mambo yanayokera

mtu kujibu text kwa vifupi , unakuta umetuma text ndefu mtu anajibu p,k, pp, kuandika texts za msingi kwa vifupi ani dah me mtu akiniandikia p,k,pp simjibu hadi akili imkae sawa
Hawa wenye haka kamtindo ni washamba sana eti mtu anaandika xaxa badala ya sasa........ Akinijibu mtu hivo namfutilia mbali
 
MDAU😱y niaje

WEWE:shwari vipi hali

MDAU:safi habari za huko?

WEWE:nzuri tunamshukuru Mungu

MDAU:vipi shemeji na watoto

WEWE:hawajambo kabisa.

MDAU:mambo yanakwendaje huko?

WEWE:tupo tunakomaa

MDAU:mmetunyima nini huko?

WEWE:hamna ndg jus tu

MDAU:wanasemaje huko?


Huwa nachoka kabisa maana ni kama sms kumi zote za aina moja tu.
 
kuna x wangu mmoja nilimtumia sms kumjulisha kuwa wale wadogo zake walio kuwa wana tafuta kazi,awajulishe wanitafute niweze kuwapa maelekezo juu ya nafasi za kazi,mara paa mwanaume ananipigia simu na kunitumia sms kuwa mke wa mtu anauma...nikaishia kucheka na kumjibu kuwa ..unaumia nini wakati kitumbua unacho karibu..si utafune ,,unakaa muda wote umeangalia simu ya demu wako.badala ya kushughulika.
Du..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
a) Umenipigia simu sijapokea, Baada ya muda kukuta call zako, nakupigia "Unaanza lawama" hawa naona nachoka kuwavumilia sasa.

b) Mtu kaanzisha mada mwenyewe kwa sms! Unamjibu kwa kutulia kabisa tena kwa ufafanuzi zaidi (kumbuka ni text) umeacha kufanya ulokuwa nalo. Kaipata kaisoma, Anauliza swali. Unacopy sehemu ya ile text uliomtumia, maana ndio jibu la swali lake lilipo! Anakuuliza tena, unacopy sehemu nyingine tena unamtumia! Baadae anakujibu 'Aaah' sawa.

c) Unachart na Mtu anatuma vitext vifupi, kukamilisha habari yake unajipata Haikuwa na haja ya text ziwe sita, kwa jambo lilelile moja, angelitumia tu sms moja, wala isingalikuwa refu ya kumaliza kurasa moja ya sms. Dah hivi Watu wa hivi huwa Mnaandika sms Miguu ikiwa wapi? Naona inapoteza muda aise!

Tuishi tu Tutaelewana.
 
Aisee tabia ya kukata simu inanikera kweli yaani ameona unaongea pumba
Hiyo tabia ya kupiga calls kumi inakera, piga mara moja then tuma sms kama unadhani ujumbe ni wa muhimu sana.

Kukata simu katikati ya maongezi (hii mara nyingi ni kwa wapendanao), watu mkipishana kauli kidogo tu mtu anakata simu, sijui anataka abembelezwe au vipi. Ukinikatia simu katikati ya maongezi hakika hutaona call yangu.

Kupiga simu then mtu haweki sikioni, ukipokea haongei, yupo zake anapiga story, unasema "vipi upo?" Ongea basi...nakereka balaa!!
 
Haha umetisha boss
Namba 9 hapo. Nikupigie simu usipokee, nikutext usijibu halafu ndio ukae kimya, Hiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!! Hata ukikutana na mimi barabarani usithubutu kuongea na mimi
 
Hahaha that means she doesn't know her place yaani hajaelewa bado kwamba yeye ni mpango wa kando kwa hiyo anajikuta anakumiliki mzima mzima
Michepuko: unaweza kukupigia na kukuta upo kwenye kwenye mazingira hatarishi (upo na waziri mkuu kwa mfano) na inabidi uikate ile simu. Badala ya mtu kujiongeza, unashangaa anapiga tena na tena na tenaaa😀
 
Nitakunyoosha
Mimi namba 9 nipo.... Naweza nikatoka nyumbani wanataka kuniuliza kitu au kuniagiza akianza kupiga inaita alipo.


Nimeshindwa kuacha hii.
 
Haha pole boss
kuna x wangu mmoja nilimtumia sms kumjulisha kuwa wale wadogo zake walio kuwa wana tafuta kazi,awajulishe wanitafute niweze kuwapa maelekezo juu ya nafasi za kazi,mara paa mwanaume ananipigia simu na kunitumia sms kuwa mke wa mtu anauma...nikaishia kucheka na kumjibu kuwa ..unaumia nini wakati kitumbua unacho karibu..si utafune ,,unakaa muda wote umeangalia simu ya demu wako.badala ya kushughulika.
 
Ukiona hivyo hujatuma ya kutolea teh
Unatumia hela demu wako mpaka tena umpigie kujua kama kaiona ndipo atajibu nimeiona Asante.
Mama nikimtumia hela muda huohuo anaunga bando la mia 500,anakupigia utasikia "Asante mwanangu nimeiona ubarikiwe sana baba yangu, Mungu abariki za mikono yako najivunia kukuzaa wewe na wadogo zako wamefurahi sana.
Nakupenda mama,wadogo zangu wa kike wafundishe huo ukarimu kwa wanaume zao .
 
Haha ukiona hivyo anakupanga kuna shida anataka kukwambia
MDAU😱y niaje

WEWE:shwari vipi hali

MDAU:safi habari za huko?

WEWE:nzuri tunamshukuru Mungu

MDAU:vipi shemeji na watoto

WEWE:hawajambo kabisa.

MDAU:mambo yanakwendaje huko?

WEWE:tupo tunakomaa

MDAU:mmetunyima nini huko?

WEWE:hamna ndg jus tu

MDAU:wanasemaje huko?


Huwa nachoka kabisa maana ni kama sms kumi zote za aina moja tu.
 
Haha mtu anauliza swali anatuma neno kiulizo anaweka kwenye text nyingine...na huu mtindo umeanza baada ya simu janja na hivi vifurushi vya unlimited sms mbona enzi zile sms moja unatuma kwa sh 59 watu walikuwa hawafanyi huu ujinga
a) Umenipigia simu sijapokea, Baada ya muda kukuta call zako, nakupigia "Unaanza lawama" hawa naona nachoka kuwavumilia sasa.

b) Mtu kaanzisha mada mwenyewe kwa sms! Unamjibu kwa kutulia kabisa tena kwa ufafanuzi zaidi (kumbuka ni text) umeacha kufanya ulokuwa nalo. Kaipata kaisoma, Anauliza swali. Unacopy sehemu ya ile text uliomtumia, maana ndio jibu la swali lake lilipo! Anakuuliza tena, unacopy sehemu nyingine tena unamtumia! Baadae anakujibu 'Aaah' sawa.

c) Unachart na Mtu anatuma vitext vifupi, kukamilisha habari yake unajipata Haikuwa na haja ya text ziwe sita, kwa jambo lilelile moja, angelitumia tu sms moja, wala isingalikuwa refu ya kumaliza kurasa moja ya sms. Dah hivi Watu wa hivi huwa Mnaandika sms Miguu ikiwa wapi? Naona inapoteza muda aise!

Tuishi tu Tutaelewana.
 
Me katika yote ayo sina matatizo nayo lakini me ni lile swala la late replies na blue tick za whatsapp... fanya mambo yote lakin sio izo vitu mbili
Kama upo hivyo kwenye kuangalia blue tick na mie huwa nakereka mtu akikomaa nimekutumia msg nimeona blue tick ukauchuna (na mie huwa naamini mtu anaehitaji kitu cha muhimu lazima atapiga ama atatuma sms ya kawada ambayo uwe na kifurushi huna kifurushi itaingia (lazima nitamchimba mkwara wakati message inaingia nilikuwa na bundle yaani 4MB yaani muda ule ule nataka kujibu ikakata (maana kuna watu message za muhimu wanatuma kuitia whatsapp ambayo ni subject to bundle kwa mpokeaji hao mie ndo hinikera)
 
Back
Top Bottom