a) Umenipigia simu sijapokea, Baada ya muda kukuta call zako, nakupigia "Unaanza lawama" hawa naona nachoka kuwavumilia sasa.
b) Mtu kaanzisha mada mwenyewe kwa sms! Unamjibu kwa kutulia kabisa tena kwa ufafanuzi zaidi (kumbuka ni text) umeacha kufanya ulokuwa nalo. Kaipata kaisoma, Anauliza swali. Unacopy sehemu ya ile text uliomtumia, maana ndio jibu la swali lake lilipo! Anakuuliza tena, unacopy sehemu nyingine tena unamtumia! Baadae anakujibu 'Aaah' sawa.
c) Unachart na Mtu anatuma vitext vifupi, kukamilisha habari yake unajipata Haikuwa na haja ya text ziwe sita, kwa jambo lilelile moja, angelitumia tu sms moja, wala isingalikuwa refu ya kumaliza kurasa moja ya sms. Dah hivi Watu wa hivi huwa Mnaandika sms Miguu ikiwa wapi? Naona inapoteza muda aise!
Tuishi tu Tutaelewana.