JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
Hii simu ina ubora gani na inarate sh ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haizidi 250,000|=,iko vizuri kwa matumizi ya kawaida.Hii simu ina ubora gani na inarate sh ngapi?
Ni bei gani hii simuMi natumia Xiaomi Poco x3 pro nzuri hata baada ya hii ntarudi kwenye kampuni hii mkuu fast charge 33W prosesa snapdragon 860,
Kwa hiyo 9A sikushauri kama wewe ni hard user,chukua kuanzia note 9 au 10 utakula maisha.Ni bei gani hii simu
ni sh ngapi hizoKwa hiyo 9A sikushauri kama wewe ni hard user,chukua kuanzia note 9 au 10 utakula maisha.
Poco zipo juu kidogo X3 siijui bei yake ila mimi nina Poco F3 niliichukua mpaka inanifikia mkononi 845KNi bei gani hii simu
ni sh ngapi hizo
Xiaomi ni simuje xiom na samsung galax ip bora zaidi
Na ukongwe wako hapa unauliza swali gani hilo😁😁😁😁je xiom na samsung galax ip bora zaidi
Hii simu ina ubora gani na inarate sh ngapi?
750k mkuuNi bei gani hii simu
Spece ipi ram au romNi simu mbaya maana ina space ndogo
Achana nayo ya zamani hiyo, chukua redmi 10a au 10c kama bajetiinaruhusu. Ni simu nzuri kuliko tecno au samsung galaxy matoleo ya "A" ila sio tamu kama huawei, iphone au samsung matoleo ya "Note & S" kama unatokea kwenye infinix na tecno utafurahi mpaka unenepe ila kama unatokea kwa iphone na huawei basi nenda pole pole usitegemee maajabu sanaHii simu ina ubora gani na inarate sh ngapi?
750k kwa simu yenye IPS LCD ni matumizi mabaya sana ya peaa750k mkuu
Hakika!750k kwa simu yenye IPS LCD ni matumizi mabaya sana ya pesa