Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Badili simu kijan toleo la zamani hiloHakukuwa na haja kuupgrade mzee
Ina pixel ni simu nyie Nina 4xl Unyama mno mungu akijalia nivute 6a
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badili simu kijan toleo la zamani hiloHakukuwa na haja kuupgrade mzee
Ina pixel ni simu nyie Nina 4xl Unyama mno mungu akijalia nivute 6a
Nenda kariakoo utapata andaa 260k kwa pixel 4a 5G.mimi ninayo pixel 4a ila imemwaga wino naomba wapi naweza pata screen mpya?
Sio kwamba zina shida zote, huku bongo nyingi zinakuja used na refurb ndiyo maana ukinunua unabet tu... Ukitaka unyama vuta mpya, ila overall pixel kwenye hardware sio wazuri wanatumia material simple sana.. ila kwa software wako njema mno simu nyepesi kwenye performance sabu ya stock android..Kumbe hizi simu ndo zina shida hivi? Mbona watu huwa wanazipamba mno?
Hakuna alieunua mpya hata mmoja katika hao.Kumbe hizi simu ndo zina shida hivi? Mbona watu huwa wanazipamba mno?
Dukanimimi ninayo pixel 4a ila imemwaga wino naomba wapi naweza pata screen mpya?
nipo kahama ....je unajua bei yake?Dukani
Duh, jangaNenda kariakoo utapata andaa 260k kwa pixel 4a 5G.
Au lete 300k nikupe hii yangu, ipo na box lake na charger yake, shida yake haisomi line baada ya ku-update to android 14. Lakini inafanya kazi kama kawaida, internet unaingia kwa WiFi