Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama mtu unaishi nje ya mji mfano maeneo ya Ununio, ipi ni option nzuri kwa unlimited internet?Mkuu wifi ni kipitisho tu cha internet/data haina tofauti na Hdmi, usb cable, ethernet etc.
Ili wifi ikupe internet source inaweza ikawa Fiber, line ya simu, Adsl, satelite internet etc.
Uliza vizuri huko mikoani wifi yao inatokana na nini? Unaweza tozwa bei kubwa kumbe ni satelite internet ambayo ping ni kubwa.
Na mjini una options nyingi around 70,000. Kuna Zuku, Home faiba, Raha, TTCL etc. Kwa hio 10mbps.
hyo 70kMkuu wifi ni kipitisho tu cha internet/data haina tofauti na Hdmi, usb cable, ethernet etc.
Ili wifi ikupe internet source inaweza ikawa Fiber, line ya simu, Adsl, satelite internet etc.
Uliza vizuri huko mikoani wifi yao inatokana na nini? Unaweza tozwa bei kubwa kumbe ni satelite internet ambayo ping ni kubwa.
Na mjini una options nyingi around 70,000. Kuna Zuku, Home faiba, Raha, TTCL etc. Kwa hio 10mbps.
niko ilala naihitaj sana hii kwa netflixhyo 70k
inakuwa unlimited mwez mzma au?
Ndio, kwa speed ya 10mbps (around 1.2MB/s)hyo 70k
inakuwa unlimited mwez mzma au?
Ilala kuna jamaa yangu aliniambia CTV wapo, Zuku bado huko hawajafikaniko ilala naihitaj sana hii kwa netflix
Nipo mabibo mkuu naitaji wifi naweza ipata ipi mkuu?Ilala kuna jamaa yangu aliniambia CTV wapo, Zuku bado huko hawajafika
Supakasi nafikiri ipo dar sehemu kubwa.Nipo mabibo mkuu naitaji wifi naweza ipata ipi mkuu?
Supakasi ni ya vodacom?Supakasi nafikiri ipo dar sehemu kubwa.
Ttcl umewacheki?
Ndio voda ila inaanza 115kSupakasi ni ya vodacom?
Ttcl sijawacheki.
Malipo kwa mwezi ni la 115k?, je gharama za kununulia je? Na vip speed yao ya internet.Ndio voda ila inaanza 115k
Router mkuu haikupi internet, router imaunganisha tu vifaa internet inakuja kwa Fiber, Copper, mnara wa simu etc.Malipo kwa mwezi ni la 115k?, je gharama za kununulia je? Na vip speed yao ya internet.
Je hamna wifi router nayoweza Pata kwa bei ya chini kidogo mkuu?
Mi natumia pia supakasi, last week ndo kulikuwa na shida, ila naona saizi iko stable.Binafsi nimejiunga na Voda Supakasi Unlimited ya 4G.
Tatizo ambalo limeanza tokea ni kuwa speed imepungua kwa kasi, wiki mbili za mwanzo ilikuwa inacheza 15-19mbps
Ila kuanzia wiki hii ambayo zimebakia siku 12 ili mwezi uishe speed imeshuka napata 1-6mbps.
Inakuwa slow sana, siwezi angalia 720p kwenye TV
Buffering zakutosha
Downling episod ya kawaida 240MB inachukua muda mrefu.
Je tatizo laweza kuwa nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ninapoishi 5G minara imegoma soma hivyo nikapewa hiyo, mwanzo imefanya kazi vizuri ila kuanzia siku 3 zilizopita imekuwa kero mno.Mi natumia pia supakasi, last week ndo kulikuwa na shida, ila naona saizi iko stable.
Request 5g upate 30mbps, maana inaongezeka elf 5 tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejaribu kurestart router kupitia menu za router? Umejaribu kudownload youtube video na idm?Binafsi nimejiunga na Voda Supakasi Unlimited ya 4G.
Tatizo ambalo limeanza tokea ni kuwa speed imepungua kwa kasi, wiki mbili za mwanzo ilikuwa inacheza 15-19mbps
Ila kuanzia wiki hii ambayo zimebakia siku 12 ili mwezi uishe speed imeshuka napata 1-6mbps.
Inakuwa slow sana, siwezi angalia 720p kwenye TV
Buffering zakutosha
Downling episod ya kawaida 240MB inachukua muda mrefu.
Je tatizo laweza kuwa nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ngoja nijaribu fanya hivyo afu nitaleta mrejesho ASAPUmejaribu kurestart router kupitia menu za router? Umejaribu kudownload youtube video na idm?
Sometimes hili husababishwa na kuwa unapewa GB kadhaa kwenye kifurushi chako na hizo GB zikiisha speed ina drop inakuwa ya chini sana japo utaendelea kupata Internet.Binafsi nimejiunga na Voda Supakasi Unlimited ya 4G.
Tatizo ambalo limeanza tokea ni kuwa speed imepungua kwa kasi, wiki mbili za mwanzo ilikuwa inacheza 15-19mbps
Ila kuanzia wiki hii ambayo zimebakia siku 12 ili mwezi uishe speed imeshuka napata 1-6mbps.
Inakuwa slow sana, siwezi angalia 720p kwenye TV
Buffering zakutosha
Downling episod ya kawaida 240MB inachukua muda mrefu.
Je tatizo laweza kuwa nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app