Mimi sipewi GBSometimes hili husababishwa na kuwa unapewa GB kadhaa kwenye kifurushi chako na hizo GB zikiisha speed ina drop inakuwa ya chini sana japo utaendelea kupata Internet.
Mara nyingi hairuhusu hata kudownload.
Wao wakiwa wanakuuzia watakuambia ni unlimited ila kuna kiasi fulani cha GB ukishatumia lazima speed ishuke sana
Oyooo hivi wewe ulichukua muda gani baada ya kujisajili mpaka kuletewa router naona mimi wanachelewa niletea sijui sikukuu hizi hata sielewiMimi sipewi GB
Natumia Kutoka Netsolution nyumbani kwa kulipia Tsh. 59,000/= kwa mwezi hawa wamenipa free router & installation kwa kuwa niko kwenye apartment nikihama naacha device zao. Hii ni Up to 20Mbps. Cheki ZUKU huko posta ni cheap zaidi hata hawa Netsolution hawajawahi kuzingua kwa miezi kama 6 niliyoitumiaWakuu nahitaji mrejesho kwa wanaowafahamu , hawa wana fiber mjini na nje ya mji au mikoani ni wireless but wanajinasibu wana unlimited yeny bandwith kama posta yao inavyoonyesha au tofauti na hawa nipeni some recomendations
View attachment 2088469
Siku 3Oyooo hivi wewe ulichukua muda gani baada ya kujisajili mpaka kuletewa router naona mimi wanachelewa niletea sijui sikukuu hizi hata sielewi
Hao inabidi uwasumbue, vinginevyo utasubiri sanaOyooo hivi wewe ulichukua muda gani baada ya kujisajili mpaka kuletewa router naona mimi wanachelewa niletea sijui sikukuu hizi hata sielewi
Duh! Mimi sasa inaingia mwezi tangu nilipe na bado wananiambia subiri utaletwa.Hao inabidi uwasumbue, vinginevyo utasubiri sana
Nimelipia Kasi internet Vodacom Leo ni siku ya 20 sijaunganishwa ,wanapiga danadana tu.Malipo kwa mwezi ni la 115k?, je gharama za kununulia je? Na vip speed yao ya internet.
Je hamna wifi router nayoweza Pata kwa bei ya chini kidogo mkuu?
Mi mbona nimelipia pesa yapata mwezi mzima bado hawajaniunganisha?Binafsi nimejiunga na Voda Supakasi Unlimited ya 4G.
Tatizo ambalo limeanza tokea ni kuwa speed imepungua kwa kasi, wiki mbili za mwanzo ilikuwa inacheza 15-19mbps
Ila kuanzia wiki hii ambayo zimebakia siku 12 ili mwezi uishe speed imeshuka napata 1-6mbps.
Inakuwa slow sana, siwezi angalia 720p kwenye TV
Buffering zakutosha
Downling episod ya kawaida 240MB inachukua muda mrefu.
Je tatizo laweza kuwa nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Uzembe wako kutounganishiwa.Mi mbona nimelipia pesa yapata mwezi mzima bado hawajaniunganisha?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tunaomba mrejesho aliye tumia ttcl fiber maeneo ya vijijini maana kijijini kwangu wamepitisha karib sana na nyumbani lakin hata kama mjini lakin katumia ttcl arudishe feedback
Vipi kuhusu konnect?Mkuu wifi ni kipitisho tu cha internet/data haina tofauti na Hdmi, usb cable, ethernet etc.
Ili wifi ikupe internet source inaweza ikawa Fiber, line ya simu, Adsl, satelite internet etc.
Uliza vizuri huko mikoani wifi yao inatokana na nini? Unaweza tozwa bei kubwa kumbe ni satelite internet ambayo ping ni kubwa.
Na mjini una options nyingi around 70,000. Kuna Zuku, Home faiba, Raha, TTCL etc. Kwa hio 10mbps.
Nimeunga tangu july haijawahi sumbuaTunaomba mrejesho aliye tumia ttcl fiber maeneo ya vijijini maana kijijini kwangu wamepitisha karib sana na nyumbani lakin hata kama mjini lakin katumia ttcl arudishe feedback
Konnect ni satelite, unless umekosa internet zote ndio deal na hao jamaa maana hata kasi internet ya Voda ina unafuu.Vipi kuhusu konnect?
Naomba mawasiliano yao mkuu Mimi nipo Gongo la mboto, nahitaji kwa matumizi ya ofisiNatumia Kutoka Netsolution nyumbani kwa kulipia Tsh. 59,000/= kwa mwezi hawa wamenipa free router & installation kwa kuwa niko kwenye apartment nikihama naacha device zao. Hii ni Up to 20Mbps. Cheki ZUKU huko posta ni cheap zaidi hata hawa Netsolution hawajawahi kuzingua kwa miezi kama 6 niliyoitumia
Hili tatizo sio lakwako Tu mkuu, ni la mitandao karibia yote tigo,Vida, Airtel, cjui kwann hii mitandao umeamua kutuibia kiasi hiki.Binafsi nimejiunga na Voda Supakasi Unlimited ya 4G.
Tatizo ambalo limeanza tokea ni kuwa speed imepungua kwa kasi, wiki mbili za mwanzo ilikuwa inacheza 15-19mbps
Ila kuanzia wiki hii ambayo zimebakia siku 12 ili mwezi uishe speed imeshuka napata 1-6mbps.
Inakuwa slow sana, siwezi angalia 720p kwenye TV
Buffering zakutosha
Downling episod ya kawaida 240MB inachukua muda mrefu.
Je tatizo laweza kuwa nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Dish=Satelite, internet pekee inayozidi mitandao ya simu ni Fiber, kama hupati Fiber bora tu urudi mitandao ya simu, kulipia 120k kwenye Satelite ukaacha supakasi ya Voda si uamuzi mzuri.Hili tatizo sio lakwako Tu mkuu, ni la mitandao karibia yote tigo,Vida, Airtel, cjui kwann hii mitandao umeamua kutuibia kiasi hiki.
Kuna hawa simbanet ila wanabei juu kidogo per month ni kama 120k, dishi ni million na points ivi na channels unapata Pia nataka NIifuatilie hawa nione huduma zao zikoje
nimewasumbua sana.. majibu yao ni huduma inashugurikiwaUzembe wako kutounganishiwa.
Kwanini usiwapigie simu huduma kwa wateja?
Na uliwalipa ile 230,000 yao kabisa?nimewasumbua sana.. majibu yao ni huduma inashugurikiwa