Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe unaongea nini Sasa. Pesa ya kujikimu ni hisani? Kalale ukue.Mshahara ndio haki yako kwa sababu umeufanyia kazi hiyo ya kujikimu ni hisani tu kwahiyo usikomae sana mwalimu chapa kazi.
Wewe ni katibu wa wapi mbona kama una wivu sana.Mtazoea tu...maadai ya fedha ya serikalini huchukua muda. Cha msingi mshahara umeingia (una check number) Hilo ndio la maana. Hiyo hela ya kununua subwoofer,Azam decoder, flat tv inchi 32 na kunywia bia mtaipata ila muwe wastaarabu maana mnatukana sana kwenye makundi yenu ya Whatsapp (alafu mko katika kipindi Cha majaribio ya mwaka mmoja) mmeshasahau mmesota miaka mingi bila ajira.
Wewe ni katibu wa wapi mbona kama una wivu sana.
Wivu wa nini?....hiyo pesa ya kujikimi isisyozidi 1m? Au hiyo ajira uliyoipata juzi? Alafu umepangiwa Kijijini. Hizo mbwembwe subiri maisha yajipange utaona kawaida dogo. I'm talking about experienceWewe ni katibu wa wapi mbona kama una wivu sana.
Maelekezo yametoka juu huko wakurugenzi walipe hizo pesaWivu wa nini?....hiyo pesa ya kujikimi isisyozidi 1m? Au hiyo ajira uliyoipata juzi? Alafu umepangiwa Kijijini. Hizo mbwembwe subiri maisha yajipange utaona kawaida dogo. I'm talking about experience
Utakuwa hujui maana ya hisani, kitu kilichopo kisheria huwezikiita hisaniMshahara ndio haki yako kwa sababu umeufanyia kazi hiyo ya kujikimu ni hisani tu kwahiyo usikomae sana mwalimu chapa kazi.
matambo meengi, kila mtu ana value cha kwake, just be humbleWivu wa nini?....hiyo pesa ya kujikimi isisyozidi 1m? Au hiyo ajira uliyoipata juzi? Alafu umepangiwa Kijijini. Hizo mbwembwe subiri maisha yajipange utaona kawaida dogo. I'm talking about experience