DOKEZO Watumishi Ajira Mpya (Sikonge na Rombo) hatujalipwa Fedha za Kujikimu, tunapigwa danadana

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wewe ni katibu wa wapi mbona kama una wivu sana.
 
Wivu wa nini?....hiyo pesa ya kujikimi isisyozidi 1m? Au hiyo ajira uliyoipata juzi? Alafu umepangiwa Kijijini. Hizo mbwembwe subiri maisha yajipange utaona kawaida dogo. I'm talking about experience
Maelekezo yametoka juu huko wakurugenzi walipe hizo pesa
 
Wivu wa nini?....hiyo pesa ya kujikimi isisyozidi 1m? Au hiyo ajira uliyoipata juzi? Alafu umepangiwa Kijijini. Hizo mbwembwe subiri maisha yajipange utaona kawaida dogo. I'm talking about experience
matambo meengi, kila mtu ana value cha kwake, just be humble
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…