Watumishi hawatuhamishi sisi wa mtaani

Watumishi hawatuhamishi sisi wa mtaani

GoPPiii.

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2014
Posts
1,792
Reaction score
3,075
Inakuwaje tarehe za mwisho wa mwezi foleni ATM ni kubwa kuliko kawaida, foleni ina almost mita 50 aisee.

Yaani mtu hadi unahairisha kutoa unaenda zako kwa wakala.

Hivi kwa mishahara hii kiduchu tutatoboa kweli.

Tujitahidi kutafuta financial freedom. Mshahara inabidi usitoke pale unapowekewa hadi baadae sana. Foleni hii ni kiashiria kuwa madeni ni mengi sana.
 
Inakuwaje tarehe za mwisho wa mwezi foleni ATM ni kubwa kuliko kawaida, foleni ina almost mita 50 aisee.

Yaani mtu hadi unahairisha kutoa unaenda zako kwa wakala.

Hivi kwa mishahara hii kiduchu tutatoboa kweli.

Tujitahidi kutafuta financial freedom. Mshahara inabidi usitoke pale unapowekewa hadi baadae sana. Foleni hii ni kiashiria kuwa madeni ni mengi sana.
Hapo kuna watumishi ambao

1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.

2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.

3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.

4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.

So wavumilie tu mkuu hamna namna maana ukisema wapunguze muda wa kufocus kwenye kazi maana yake wasikuhudumie vizuri ukiwa na shida, je utaweza vumilia?
 
Hapo kuna watumishi ambao

1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.

2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.

3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.

4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.

So wavumilie tu mkuu hamna namna.
Natambua juhudi za kazi zao.

Wajitahidi kutotegemea mshahara.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Natambua juhudi za kazi zao.

Wajitahidi kutotegemea mshahara.
Wategemee nini ?

Wakitega kazi zao au kutokuzifanya kwa weledi sababu wapo kwenye shughuli zao au kula rushwa (kama wanavyofanya ni faida ya nani)

Yaani hawa watawala wame-wabrainwash watu kwamba hawana wajibu wa kuweka mambo sawa na huku kupigika kwa raia ni uzembe wa raia...

Yaani tangia dunia ianze hakuna kazi rahisi kama hii ya sasa ya kuwa mtawala (Hata enzi za ufalme walikuwa wanalaumiwa kwamba wana nuksi kama ukame ukija)
 
Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.

Walimu wananuka njaa sana
 
Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.

Walimu wananuka njaa sana
Mzee ushatoka kongo kuja kuwasema walimu aliyekwambia walim wote n nani jamaa angu me sio mwalim ila punguza kuwasema walimu 😅😄😁😂😀
 
Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.

Walimu wananuka njaa sana
Wanaogopa makato mkuu..
 
Inakuwaje tarehe za mwisho wa mwezi foleni ATM ni kubwa kuliko kawaida, foleni ina almost mita 50 aisee.

Yaani mtu hadi unahairisha kutoa unaenda zako kwa wakala.

Hivi kwa mishahara hii kiduchu tutatoboa kweli.

Tujitahidi kutafuta financial freedom. Mshahara inabidi usitoke pale unapowekewa hadi baadae sana. Foleni hii ni kiashiria kuwa madeni ni mengi sana.
Mshahara ndio shamba la huyo mtumishi. Huko anakokaa siyo kwao.

Hana nyumba, amepanga.

Hana shamba hata la migomba.

Hana hata mbuzi Wala kuku kwenye nyumba ya kupanga.


Kwahiyo, unataka kumpangia namna ya kuchukua malipo yake ili iweje??

Mibongo kwa unafiki hamjambo.
 
Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.

Walimu wananuka njaa sana
Bora wanaonuka njaa, wewe unanuka kinyesi kwa kufukuliwa mtaro. Unajinyea nyea na kujamba tu. 💨
 
Ngoja nione,.. kuna mjinga mjinga aliweka bond naniliu tangu mwezi wa nne naona anaruka ruka viunzi.
Busara ntakayoitumia ni kumpa fedha kidogo tumalizane
Halafu yule mmama hapa na pale imeisha hiyo.
 
Na wakifanya hivyo maana yake wapunguze muda wa kukuhudumia. Je utaweza vumilia umeme ukikatika huduma irudi kesho yake kisa mtumishi yuko kwenye biashara zake?
Hapo kuna watumishi ambao

1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.

2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.

3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.

4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.

So wavumilie tu mkuu hamna namna maana ukisema wapunguze muda wa kufocus kwenye kazi maana yake wasikuhudumie vizuri ukiwa na shida, je utaweza vumilia?
Unamjibu kisaikolojia kabisa meku
 
Back
Top Bottom