Watumishi hawatuhamishi sisi wa mtaani

Watumishi hawatuhamishi sisi wa mtaani

Mshahara ndio shamba la huyo mtumishi. Huko anakokaa siyo kwao.

Hana nyumba, amepanga.

Hana shamba hata la migomba.

Hana hata mbuzi Wala kuku kwenye nyumba ya kupanga.


Kwahiyo, unataka kumpangia namna ya kuchukua malipo yake ili iweje??

Mibongo kwa unafiki hamjambo.
Mbona kama umekasirika mkuu,lengo la uzi ni kuboresha, hizi foleni zinaashiria watumishi maisha yao ni kusubilia mshahara,inabidi wajijenge,ikitokea kazi haipo ATM tutaenda kweli. Wewe ni Mwalimu!?
 
Mbona kama umekasirika mkuu,lengo la uzi ni kuboresha, hizi foleni zinaashiria watumishi maisha yao ni kusubilia mshahara,inabidi wajijenge,ikitokea kazi haipo ATM tutaenda kweli. Wewe ni Mwalimu!?
Mishahara ndio mavuno yao, baada y kazi. Huwezi kumpangia mtu muda wakuvuna.


Wewe jijenge, maisha ya watu wengine achana nayo, Kwasababu utakuja KUFIRWA bure
 
Mishahara ndio mavuno yao, baada y kazi. Huwezi kumpangia mtu muda wakuvuna.


Wewe jijenge, maisha ya watu wengine achana nayo, Kwasababu utakuja KUFIRWA bure
Samahani Mwalimu ila kama imekugusa jiboreshe.
 
Hapo kuna watumishi ambao

1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.

2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.

3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.

4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.

So wavumilie tu mkuu hamna namna maana ukisema wapunguze muda wa kufocus kwenye kazi maana yake wasikuhudumie vizuri ukiwa na shida, je utaweza vumilia?
Hii Sugunyo uliyompiga ni ya kiwango cha Dipi Weldi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kuna watumishi ambao

1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.

2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.

3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.

4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.

So wavumilie tu mkuu hamna namna maana ukisema wapunguze muda wa kufocus kwenye kazi maana yake wasikuhudumie vizuri ukiwa na shida, je utaweza vumilia?
Aahaaaaa umegonga mule mule
 
Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.

Walimu wananuka njaa sana
Mwalimu shoga nakuona katika ubora wako,ahaaaaa
 
Na wakifanya hivyo maana yake wapunguze muda wa kukuhudumia. Je utaweza vumilia umeme ukikatika huduma irudi kesho yake kisa mtumishi yuko kwenye biashara zake?
Hawa wa umeme, sio rahisi uwakute wanapanga foleni kisa mshahara umetoka! Ni miongoni mwa wenye mishahara minono hapa TZ ujue
 
Freedom ya wapi mda wote upo job,tukichpmoka wanoko mnaolipwa 250,000 ya posho mnatuvimbia
 
Mbona kama umekasirika mkuu,lengo la uzi ni kuboresha, hizi foleni zinaashiria watumishi maisha yao ni kusubilia mshahara,inabidi wajijenge,ikitokea kazi haipo ATM tutaenda kweli. Wewe ni Mwalimu!?
Tukifanya kazi zingine mda wa kazi sio nyie mnaopiga simu kwa wakuu,wanafiki wakubwa nyie
 
Back
Top Bottom