Hapo kuna watumishi ambaoInakuwaje tarehe za mwisho wa mwezi foleni ATM ni kubwa kuliko kawaida, foleni ina almost mita 50 aisee.
Yaani mtu hadi unahairisha kutoa unaenda zako kwa wakala.
Hivi kwa mishahara hii kiduchu tutatoboa kweli.
Tujitahidi kutafuta financial freedom. Mshahara inabidi usitoke pale unapowekewa hadi baadae sana. Foleni hii ni kiashiria kuwa madeni ni mengi sana.
Natambua juhudi za kazi zao.Hapo kuna watumishi ambao
1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.
2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.
3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.
4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.
So wavumilie tu mkuu hamna namna.
Na wakifanya hivyo maana yake wapunguze muda wa kukuhudumia. Je utaweza vumilia umeme ukikatika huduma irudi kesho yake kisa mtumishi yuko kwenye biashara zake?Natambua juhudi za kazi zao.
Wajitahidi kutotegemea mshahara.
Wategemee nini ?Natambua juhudi za kazi zao.
Wajitahidi kutotegemea mshahara.
Astaghifilullah!Wataanza kulia kwa mayowe mwishowe.Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.
Walimu wananuka njaa sana
Mzee ushatoka kongo kuja kuwasema walimu aliyekwambia walim wote n nani jamaa angu me sio mwalim ila punguza kuwasema walimu 😅😄😁😂😀Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.
Walimu wananuka njaa sana
Mshahara ndio malipo ya kazi zao sasa wategemee nini.., wakiiba tunalalamika na wakitegemea mshahara pia tunalalamika.. DaahNatambua juhudi za kazi zao.
Wajitahidi kutotegemea mshahara.
Wanaogopa makato mkuu..Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.
Walimu wananuka njaa sana
Mshahara ndio shamba la huyo mtumishi. Huko anakokaa siyo kwao.Inakuwaje tarehe za mwisho wa mwezi foleni ATM ni kubwa kuliko kawaida, foleni ina almost mita 50 aisee.
Yaani mtu hadi unahairisha kutoa unaenda zako kwa wakala.
Hivi kwa mishahara hii kiduchu tutatoboa kweli.
Tujitahidi kutafuta financial freedom. Mshahara inabidi usitoke pale unapowekewa hadi baadae sana. Foleni hii ni kiashiria kuwa madeni ni mengi sana.
Bora wanaonuka njaa, wewe unanuka kinyesi kwa kufukuliwa mtaro. Unajinyea nyea na kujamba tu. 💨Foleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.
Walimu wananuka njaa sana
Na wakifanya hivyo maana yake wapunguze muda wa kukuhudumia. Je utaweza vumilia umeme ukikatika huduma irudi kesho yake kisa mtumishi yuko kwenye biashara zake?
Unamjibu kisaikolojia kabisa mekuHapo kuna watumishi ambao
1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.
2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.
3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.
4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.
So wavumilie tu mkuu hamna namna maana ukisema wapunguze muda wa kufocus kwenye kazi maana yake wasikuhudumie vizuri ukiwa na shida, je utaweza vumilia?
Wewe unasumbuliwa na umaskiniFoleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.
Walimu wananuka njaa sana