Mbona kama umekasirika mkuu,lengo la uzi ni kuboresha, hizi foleni zinaashiria watumishi maisha yao ni kusubilia mshahara,inabidi wajijenge,ikitokea kazi haipo ATM tutaenda kweli. Wewe ni Mwalimu!?Mshahara ndio shamba la huyo mtumishi. Huko anakokaa siyo kwao.
Hana nyumba, amepanga.
Hana shamba hata la migomba.
Hana hata mbuzi Wala kuku kwenye nyumba ya kupanga.
Kwahiyo, unataka kumpangia namna ya kuchukua malipo yake ili iweje??
Mibongo kwa unafiki hamjambo.
Mishahara ndio mavuno yao, baada y kazi. Huwezi kumpangia mtu muda wakuvuna.Mbona kama umekasirika mkuu,lengo la uzi ni kuboresha, hizi foleni zinaashiria watumishi maisha yao ni kusubilia mshahara,inabidi wajijenge,ikitokea kazi haipo ATM tutaenda kweli. Wewe ni Mwalimu!?
Mimi Ndoto yangu ni kupuliza watu kama wewe.Samahani Mwalimu ila kama imekugusa jiboreshe.
Hii Sugunyo uliyompiga ni ya kiwango cha Dipi Weldi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kuna watumishi ambao
1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.
2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.
3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.
4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.
So wavumilie tu mkuu hamna namna maana ukisema wapunguze muda wa kufocus kwenye kazi maana yake wasikuhudumie vizuri ukiwa na shida, je utaweza vumilia?
MwalimuMpwayungu punguza hasira kwa walimu wenzioFoleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.
Walimu wananuka njaa sana
Aahaaaaa umegonga mule muleHapo kuna watumishi ambao
1. Wametoka kumtibu mchepuko wako ulipo muambuka UTI.
2. Wametoka kumfundisha mtoto wako ambaye haelewi anachofundishwa.
3. Wametoka kukulinda ukaweza lala na demu wako bila hofu.
4. Wametengeneza bomba la maji kiasi kwamba mtoto wako wa kike akitoka kulala na kaboifrendi kake hakosi maji ya kunawa.
So wavumilie tu mkuu hamna namna maana ukisema wapunguze muda wa kufocus kwenye kazi maana yake wasikuhudumie vizuri ukiwa na shida, je utaweza vumilia?
Mpwayungu Village teacher on dutyMwalimuMpwayungu punguza hasira kwa walimu wenzio
Mwalimu shoga nakuona katika ubora wako,ahaaaaaFoleni hiyo niyawalimu tuu, hakuna mtumishi nje ya mwalimu mwenye ushamba wa kwenda ATM ilihali unaweza kutoa Kwa nmb wakala au ukaivuta pesa Bank Kuja tigopesa ukatoa Kwa wakala wa tigopesa.
Walimu wananuka njaa sana
Hawa wa umeme, sio rahisi uwakute wanapanga foleni kisa mshahara umetoka! Ni miongoni mwa wenye mishahara minono hapa TZ ujueNa wakifanya hivyo maana yake wapunguze muda wa kukuhudumia. Je utaweza vumilia umeme ukikatika huduma irudi kesho yake kisa mtumishi yuko kwenye biashara zake?
Tukifanya kazi zingine mda wa kazi sio nyie mnaopiga simu kwa wakuu,wanafiki wakubwa nyieMbona kama umekasirika mkuu,lengo la uzi ni kuboresha, hizi foleni zinaashiria watumishi maisha yao ni kusubilia mshahara,inabidi wajijenge,ikitokea kazi haipo ATM tutaenda kweli. Wewe ni Mwalimu!?