severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Swalama wakuu?
Hivi watumishi wenye jitihada kama walimu Wa Shule ya Sekondari Kisimiri kama huyu mkuu Wa Shule Na Mwalimu Wake wa taaluma plus walimu wengine kwa ujumla kwa nini Serikali isiangalie uwezekano Wa kuwapa fursa nyingine za juu zaidi ili wazidishe jitihada na kuonyesha ufanisi zaidi ktk utendaji wao kama Motisha kwa watumishi Wa uma wengine?
Any ways, Hongereni sana walimu Wa Kisimiri Shule ya Sekondari kwa jitihada zenu za kipekee zilizofanya Shule yenu iongoze nchi nzima katika matokeo ya kidato cha sita Mwaka 2019. Naamini Mh. JPM kupitia wasaidizi wake katika idara ya elimu watawatazama kwa jicho la tatu. Nimewaza sana nikaona si kitu rahisi na kawaida kwa Shule kushika nafasi ya kwanza kwa nchi nzima pasipokuwa na jitihada na moyo Wa kipekee Wa kufanya kazi.
Hivi watumishi wenye jitihada kama walimu Wa Shule ya Sekondari Kisimiri kama huyu mkuu Wa Shule Na Mwalimu Wake wa taaluma plus walimu wengine kwa ujumla kwa nini Serikali isiangalie uwezekano Wa kuwapa fursa nyingine za juu zaidi ili wazidishe jitihada na kuonyesha ufanisi zaidi ktk utendaji wao kama Motisha kwa watumishi Wa uma wengine?
Any ways, Hongereni sana walimu Wa Kisimiri Shule ya Sekondari kwa jitihada zenu za kipekee zilizofanya Shule yenu iongoze nchi nzima katika matokeo ya kidato cha sita Mwaka 2019. Naamini Mh. JPM kupitia wasaidizi wake katika idara ya elimu watawatazama kwa jicho la tatu. Nimewaza sana nikaona si kitu rahisi na kawaida kwa Shule kushika nafasi ya kwanza kwa nchi nzima pasipokuwa na jitihada na moyo Wa kipekee Wa kufanya kazi.