Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Tuwe na huruma ndugu zangu, tusiwe na mioyo migumu kama korosho.
Maelfu ya vijana wapo mtaani hawana ajira, wewe mtumishi wa umma , sekta binafsi ama uliye na biashara zako unang'ang'ana kuomba hizo ajira za muda mfupi (Siku 21 hadi 35)! Huna aibu?
Serikali imefanya jambo jema sana. Watumishi wa umma wengi wametemwa kwenye ajira za Ukarani, TEHAMA au hata wale wakufunzi. Safi mno.
Wewe unalipwa mshahara (let say 700k), kuna watu wana Masters, Degree, Diploma maelfu na maelfu na ni miaka na miaka wapo mtaani wanasugua gaga, unataka hizihizi ajira?! Huna akili.
Maelfu ya vijana wapo mtaani hawana ajira, wewe mtumishi wa umma , sekta binafsi ama uliye na biashara zako unang'ang'ana kuomba hizo ajira za muda mfupi (Siku 21 hadi 35)! Huna aibu?
Serikali imefanya jambo jema sana. Watumishi wa umma wengi wametemwa kwenye ajira za Ukarani, TEHAMA au hata wale wakufunzi. Safi mno.
Wewe unalipwa mshahara (let say 700k), kuna watu wana Masters, Degree, Diploma maelfu na maelfu na ni miaka na miaka wapo mtaani wanasugua gaga, unataka hizihizi ajira?! Huna akili.