Panga La Shaba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 209
- 68
Huyu bwana Mdogo Maharage nakumbuka alikuwa Standard Chartered Bank na Mafuru,baadaye akaamia VODA,Mafuru baada ya kuwa MD,akamwita mshikaji.....kwani jamaa ana post gani pale kiasi kwamba aweze kuleta unyanyapaa kwenye Bank kubwa kama NBC,maana ana degree ya Electronics kutoka UDSM