Watumishi wa serikali kupanda Mwendokasi

Watumishi wa serikali kupanda Mwendokasi

Mshobaa

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
1,714
Reaction score
677
Wakuu kwa hali inavyoendelea hivi sasa katika usafiri wa Mwendokasi ni janga kubwa sana kwa watu wa hali ya chini.

Jioni ukiwa kwenye vituo utashuhudia wafanyakazi mbali mbali wa umma wakiwa wamebebwa kwenye magari yao eidha coaster au magari madogo wakipita kwenye njia hizo hizo za BRT wakiwa wanawahishwa huko waendako.

Ombi langu kwa serikali ili waone jinsi wananchi wanavyotaabika na huu usafiri waweke ulazima wa watumishi wote ikifika jioni na asubuhi walazimishwe kupanda Mwendokasi ili waonje joto ya jiwe
 
Wakuu kwa hali inavyoendelea hivi sasa katika usafiri wa Mwendokasi ni janga kubwa sana kwa watu wa hali ya chini.

Jioni ukiwa kwenye vituo utashuhudia wafanyakazi mbali mbali wa umma wakiwa wamebebwa kwenye magari yao eidha coaster au magari madogo wakipita kwenye njia hizo hizo za BRT wakiwa wanawahishwa huko waendako.

Ombi langu kwa serikali ili waone jinsi wananchi wanavyotaabika na huu usafiri waweke ulazima wa watumishi wote ikifika jioni na asubuhi walazimishwe kupanda Mwendokasi ili waonje joto ya jiwe
Daaah!
Je, hiyo ndio njia sahihi au suluhisho la kuweza kutatua janga la usafiri Katika Jiji la Dsm??
 
kwamba hawajui mnavyotaabika???
Hawawaoni?
Hawasikiii???
Wanawadharau tu maana wanajua hamna jeuri ya kufanya lolote
Mtake msitake gari hizo mtapanda
Wanajua,
Wanaona na wanasikia ila wajue wengi wanaotumia huo usafiri ni walipakodi pia
 
Sasa mtumishi umpe adha hiyo wakati hahusiki na brt?
Wakuu kwa hali inavyoendelea hivi sasa katika usafiri wa Mwendokasi ni janga kubwa sana kwa watu wa hali ya chini.

Jioni ukiwa kwenye vituo utashuhudia wafanyakazi mbali mbali wa umma wakiwa wamebebwa kwenye magari yao eidha coaster au magari madogo wakipita kwenye njia hizo hizo za BRT wakiwa wanawahishwa huko waendako.

Ombi langu kwa serikali ili waone jinsi wananchi wanavyotaabika na huu usafiri waweke ulazima wa watumishi wote ikifika jioni na asubuhi walazimishwe kupanda Mwendokasi ili waonje joto ya jiwe
 
Wakuu kwa hali inavyoendelea hivi sasa katika usafiri wa Mwendokasi ni janga kubwa sana kwa watu wa hali ya chini.

Jioni ukiwa kwenye vituo utashuhudia wafanyakazi mbali mbali wa umma wakiwa wamebebwa kwenye magari yao eidha coaster au magari madogo wakipita kwenye njia hizo hizo za BRT wakiwa wanawahishwa huko waendako.

Ombi langu kwa serikali ili waone jinsi wananchi wanavyotaabika na huu usafiri waweke ulazima wa watumishi wote ikifika jioni na asubuhi walazimishwe kupanda Mwendokasi ili waonje joto ya jiwe
Mbona mnajisifu sana mpo jiji kubwa la maraha mpk mnaita wengine wapo mikoani kana kwamba Dar sio mkoa wa Tanzania

endeleeni kuteseka na kukomaa na bado
Mtalimia meno mpk mrudi kwenu muache kujazana sehemu moja
 
tafuta hela

wao hawataki kupanda mwendokasi kwasababu wanajinyima ili waepukane na.shida za usafr
 
Sheria Kali zilipaswa wawekewe viongozi wa juu rais, makamu, w mkuu , jaji na spika. Lakini wamewekewa Kinga.


Sheria ingewalazimisha viongozi wote kutumia hospital, shule nk za umma pia wakarishwe kwenye foleni wangekuwa wametatua
Kabisa kusingekuwepo na urasimu wa kijinga kama huu
 
Yani Watanzania ni majitu matahira sana,yani wakiwa huko hudhania maisha yao magumu husababishwa na Watumishi wa umma.
Maisha yenu magumu,usafiri mbovu,maji,umeme,matibabu yote yanasababishwa na Rais na Wabunge mnao wachagua.

Acheni tabia za kulalamikoa watumishi huku anayetakiwa awaondelee shida zote yupo Magogoni,ni lini nyie watu mtapata akili.Watumishi wa umma wanacheza na ngoma inavyopigwa.
 
Yani Watanzania ni majitu matahira sana,yani wakiwa huko hudhania maisha yao magumu husababishwa na Watumishi wa umma.
Maisha yenu magumu,usafiri mbovu,m W1aji,umeme,matibabu yote yanasababishwa na Rais na Wabunge mnao wachagua.

Acheni tabia za kulalamikoa watumishi huku anayetakiwa awaondelee shida zote yupo Magogoni,ni lini nyie watu mtapata akili.Watumishi wa umma wanacheza na ngoma inavyopigwa.
Ukisema watanzania ni mataahira usisahau kujijumuisha na wewe pia au ni mnyarwanda wewe
 
Back
Top Bottom