Mwandiko kama wa mwoga au mwenye wivu, Acha apate sifa zake, kuna watu wamefanya makubwa sana nchi hii. Nae anahesabikaBinafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!
Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Huyo siyo jasusi bobezi ila siasa na wanasiasa ndio wanamwona kama jasusi bobezi pia alipenda kusifiwa sana!!Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!
Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Utabaki kuwa Mwalimu wa tuisheni huu uwanja sio menyu yakoHaya na wewe kwataarifa yako kwenye top 20 best twist since 70's mpaka late 90's huyo maembe hana la maana, kama ni mission ya Kagera wapo wengi wengine walienda mpaka libya...
Kwa leo niishie hapa niandae maandalio ya somo la kesho
Mwaka 1983 vita ilishaisha tangu 1980 sasa auwawe kwa lipi au alibuki kitu!!?Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Huyo siyo jasusi bobezi ila siasa na wanasiasa ndio wanamwona kama jasusi bobezi pia alipenda kusifiwa sana!!
We mpuuzi nisome tena alienda kuasesi post war impact za vita kipindi hata yoweri museveni hajawa rais.Mwaka 1983 vita ilishaisha tangu 1980 sasa auwawe kwa lipi au alibuki kitu!!?
Membe kabla ya serikali ya awamu ya tano kumnyanyua kisiasa alikuwa afisa wa usalama wa kawaida tu hakuna cha maana sana alichokuwa amefanya zaidi ya wengine.Utabaki kuwa Mwalimu wa tuisheni huu uwanja sio menyu yako
Ndio fani yangu hiyo, mkuu, leta mwanao awe TO ajayeUtabaki kuwa Mwalimu wa tuisheni huu uwanja sio menyu yako
Hujui kitu kwa taarifa yako Magufuli alikuwa pia ni Jasusi.Kwasababu archives hazijaruhusiwa kusimulia operation alizoshiriki wewe uzijue kuna watu wamefanya makubwa nchi hii mpaka ukisimuliwa unaogopa! Ndio maana magufuli alipoleta ujuaji idara ikamshangaa sana hasa top retirees wakashangaa huyu mwalimu wa kemistri wa secondary anatuletea ishu gani huku ....?
😂😂😂🔨🔨🔨Hujui kitu kwa taarifa yako Magufuli alikuwa pia ni Jasusi.
Aisee.....Alikuwa ni KACHERO tangu Form six.
ALIAMINIKA SANA ILA ALIKUJA KUJITANGAZA HAPO NDIPO ALIPOHARIBU.
Samahani mkuu PSU mana yake ndio wepi hao mkuuDSO
RSO
Hujulikana sana
PSU wote hujulikana,
Wengi wao Eagle akipumzika hurudishwa mikoani au makao makuu
Kapitie hata clip za mazishi yake...Dingi alikuwa TISS na amewahi kushika nafasi za juu tu.Sikumbuki vizuri kama wasifu wa Mahiga walisema alikuwa TISS anaekumbuka atujuze
Hujui kitu kwa taarifa yako Magufuli alikuwa pia ni Jasusi.
Walisema, Mahiga alikuwa DGIS kipindi cha Nyerere yule.Sikumbuki vizuri kama wasifu wa Mahiga walisema alikuwa TISS anaekumbuka atujuze
Tena tiss mmbobeziSikumbuki vizuri kama wasifu wa Mahiga walisema alikuwa TISS anaekumbuka atujuze
Jasusi hawi Mpumbavu.Hujui kitu kwa taarifa yako Magufuli alikuwa pia ni Jasusi.