Sikumbuki vizuri kama wasifu wa Mahiga walisema alikuwa TISS anaekumbuka atujuze
Uli meliminate wewe mbwa mkubwa. Na huo mzoga wenu unazikwa kesho kutwa umeenda kuuaga hapo Karimjee au unaenda Rondo?Maviiiiiiiii labda jasusi wa wahutu ndio maana akawa eliminated.
Kiboko yako Mpwayungu VillageNdio fani yangu hiyo, mkuu, leta mwanao awe TO ajaye
Mpumbavu kama wewe au?Jasusi hawi Mpumbavu.
Wanaomzunguka Rais na nguo nyeusi hao ndo PSUSamahani mkuu PSU mana yake ndio wepi hao mkuu
Membe siyo marehemu, huo ni mzoga.Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!
Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
TISS iliishia kwakina mwang'onda wengine ni waganga njaa 😎😎
bwana mdogo unaleta stori za kusimuliwa sio?Kwasababu archives hazijaruhusiwa kusimulia operation alizoshiriki wewe uzijue kuna watu wamefanya makubwa nchi hii mpaka ukisimuliwa unaogopa! Ndio maana magufuli alipoleta ujuaji idara ikamshangaa sana hasa top retirees wakashangaa huyu mwalimu wa kemistri wa secondary anatuletea ishu gani huku ....?
Vita ya Uganda aliyekuwa front liner wa Tisi na aliyefanya kazi pevu siye huyo maembe wenu.Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Mwaka 1983 wakati vita imeshaisha, analysis gani hiyo ambayo tayari madhara yalishatokea miaka karibia mitano?????Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Yule aliye la.w..wa ...huko Lindi?Kiboko yako Mpwayungu Village
Nape aliitoa CCM shimoni,alilala msituni au umesahau.Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Naomba nikujibu hivi; maafisa usalama wa kawaida ni hawa ma rso na dso na wa chini kabisa ni wale wanaosimamia mitihani ya la nne la sana form two form four na wale walioko nectar wanaotisha walimu wa Mpwayungu Village kila siku bernard camilius membe alishapita level hizo toka mwaka 1980 na kimsingi hakuwahi kuwa huko chini kwa taarifa yako wakati waziri mkuu mizengo kayanza peter pinda akiwa mkuu wa usalama wa ikulu wakati wa nyerere membe tayari alishakuwa ndani ya ofisi ya rais mchambuzi wa mifumo ya ulinzi na usalama wa nchi set up unayoiona leo nje ya nchi na ndani pokea hiyo. Itoshe kusema mizengo pinda alilinda ikulu na familia ya nyerere na membe alilinda taifa nchi !Membe kabla ya serikali ya awamu ya tano kumnyanyua kisiasa alikuwa afisa wa usalama wa kawaida tu hakuna cha maana sana alichokuwa amefanya zaidi ya wengine.
Utabaki na ujinga wako post war impact za military analysts baada ya vita zinafanyika kwa karne moja sembuse miaka mitano? Kumbuka nchi hasimu zinaendelea kuchunguzana mpaka kizazi kilichoshuhudia vita kipite na wajiridhishe kwamba mambo ni shwari sema nyie vijana mliozaliwa mwaka 2000 hamyajui haya.Mwaka 1983 wakati vita imeshaisha, analysis gani hiyo ambayo tayari madhara yalishatokea miaka karibia mitano?????
Huyu jamaa mwongo mpaka anaboa
Wewe unayeyajua kazikwe nayeUtabaki na ujinga wako post war impact za military analysts baada ya vita zinafanyika kwa karne moja sembuse miaka mitano? Kumbuka nchi hasimu zinaendelea kuchunguzana mpaka kizazi kilichoshuhudia vita kipite na wajiridhishe kwamba mambo ni shwari sema nyie vijana mliozaliwa mwaka 2000 hamyajui haya.
anajua yeye mwenyeweMzee Mrema naye