Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.

Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika.

 
Mh Rais na viongozi wote kwa ujumla embu tungeni adhabu ya kuwanyonga maofisia wanao fanya mambo yakinyama kama haya kweli huyu mwanamke amefanyiwa haya yote kwa fitina hao walio mtengenezea fitina wanajulikana why kukaa kimya?
 
Hao maafisa walitaka rushwa Kwa huyo mama, in short hao ma officer ni wahuni na washenz.i na wahujumu uchumi na Hawana utu wangetakiwa wamsaidie, Huwa nawaza why Watanzania tunapenda kukomoana hivi, huyu mama kumfungia kumeharibu uchumi na kuathiri aliowaajiri na kumtegemea, na hao ma officer hawakufikiria kweli multiplier effect yake. Saa ingine watu watumie busara kuangalia mambo Kwa upana faida na hasara then wa negotiate
 
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.

Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Wale walamba asali bado watamsingizia magufuli
 
Mh Rais na viongozi wote kwa ujumla embu tungeni adhabu ya kuwanyonga maofisia wanao fanya mambo yakinyama kama haya kweli huyu mwanamke amefanyiwa haya yote kwa fitina hao walio mtengenezea fitina wanajulikana why kukaa kimya?
Wanastahili adhabu ila wasinyongwe, ukianza kunyonga basi utanyonga waishe maana wasafi wanaweza kuwa wachache sana. Ukumbuke kuna Polisi, Halmashauri, wizarani na hata sekta binafsi. Kote huko kuna watu wa aina hii. Hapo hujagusa wanasiasa.

Wapunguziwe majaribu, mfumo wa kodi uwe digital kupunguza uhusiano wa moja kwa moja wa mlipa kodi na afisa. Tuwekeze kwenye technology.

Mfano magari zamani makadirio walikuwa wanapiga sana, sasa hivi hilo jaribu wameepushwa nalo.

Tusiwekeze kwenye uzalendo kwa mtindo wa kuacha mianya ya mtu kushawishiwa au kushawishi kupata kitu.
 
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.

Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Hatafanywa chochote hiyo ndio Tanzania ya kishenzi ukisia wameshughulikiwa nijulishe,kwani umesahau yule wa kigoma alizungumza mbele ya Majaliwa je alisaidiwa?tatizo la Watanzania ni kwamba wana ugonjwa wa kusahau na akishika 🎤 anafikiri anaigiza mchezo na anasahau kilichompelika kwenye stage ndio sababu watapiga kelele mpaka Yesu arudi hakuna mabadiliko
 
Hao maafisa walitaka rushwa Kwa huyo mama, in short hao ma officer ni wahuni na washenz.i na wahujumu uchumi na Hawana utu wangetakiwa wamsaidie, Huwa nawaza why Watanzania tunapenda kukomoana hivi, huyu mama kumfungia kumeharibu uchumi na kuathiri aliowaajiri na kumtegemea, na hao ma officer hawakufikiria kweli multiplier effect yake. Saa ingine watu watumie busara kuangalia mambo Kwa upana faida na hasara then wa negotiate
Walamba asali Watakwaambia wanafuata sheria zilizotungwa mara billion 30 mara billion 1 khaa kodi gani hizo
 
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.

Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
TRA: ^Njoo uchukue mzigo wako^

Mama: ^Nangoja hadi nilipe hizo bilioni 30. Au mmeshazilipa tayari?^ haha
 
Walamba asali Watakwaambia wanafuata sheria zilizotungwa mara billion 30 mara billion 1 khaa kodi gani hizo
Ujue hata Sheria mbovu ni chanzo Cha rushwa na kuwatajirisha TRA officers,maana masheria mengine hayana applicability kiuhalisia ndio mwisho mtu kukwepa hyo Kodi anaona awape rushwa ma officer ili asilipe.
Pia fine za hovyo Kwa kosa dogo mfano la receipt labda ya laki moja huku fine milion Tano huoni kuwa huyo mfanyabiashara ataamua atoe tu rushwa kulipo kulipa fine.
Sheria mbovu ndio zinachangia rushwa isiishe nchini, plus too much bureaucracy kwenye ma office ya umma.
 
Back
Top Bottom