Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.
Mbwa kabisa
Yaani wewe ni fala kweli, utaacha watu wakufikirie kuwa ni [emoji304] na jamaa alikupitia. Hapa waliokuwa wana makosa ni watumishi wa TRA wataka rushwa hivyo ulitaka huyo Tajiri aliyebambikwa ndio ashughulikiwe? Unapenda kumtaja kwa sifa bwana ako bila kujua hata mantiki ya hoja. Mchizi we!