Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.

Mbwa kabisa

Yaani wewe ni fala kweli, utaacha watu wakufikirie kuwa ni [emoji304] na jamaa alikupitia. Hapa waliokuwa wana makosa ni watumishi wa TRA wataka rushwa hivyo ulitaka huyo Tajiri aliyebambikwa ndio ashughulikiwe? Unapenda kumtaja kwa sifa bwana ako bila kujua hata mantiki ya hoja. Mchizi we!
 
Wanastahili adhabu ila wasinyongwe, ukianza kunyonga basi utanyonga waishe maana wasafi wanaweza kuwa wachache sana. Ukumbuke kuna Polisi, Halmashauri, wizarani na hata sekta binafsi. Kote huko kuna watu wa aina hii. Hapo hujagusa wanasiasa.

Wapunguziwe majaribu, mfumo wa kodi uwe digital kupunguza uhusiano wa moja kwa moja wa mlipa kodi na afisa. Tuwekeze kwenye technology.

Mfano magari zamani makadirio walikuwa wanapiga sana, sasa hivi hilo jaribu wameepushwa nalo.

Tusiwekeze kwenye uzalendo kwa mtindo wa kuacha mianya ya mtu kushawishiwa au kushawishi kupata kitu.
Hata kwenye magari bado wanapiga iweje calculator ya TRA iseme utalipa 7mln lkn afisa wa TRA anakuongezea 1.5mln maanake ni kwamba kuna wanaongezewa na wasioongezewa
 
Wengi wao hawajui adha wanazozipitia wafabiashara. Wanachojua wao ni kuhesabu pesa zilizoingia kwa siku baada ya kukaridia kiwango cha juu cha kodi. Shame!
Na wao ma officer wanajua kuwa mfanyabiashara anaokota tu pesa hovyo hovyo ndio maana ni rahisi kumfungia mtu biashara hafu alipe Tena Kodi juu. Nchi hii tukibadili namna ya kufikiria na utendaji tutapiga hatua mbele
 
Hata kwenye magari bado wanapiga iweje calculator ya TRA iseme utalipa 7mln lkn afisa wa TRA anakuongezea 1.5mln maanake ni kwamba kuna wanaongezewa na wasioongezewa
Kwenye magari? Inawezekana ila haijanitokea. Anyway kama ipo basi imepungua sana tofauti na kipindi cha ukaguzi wa kutumia macho.
 
Na wao ma officer wanajua kuwa mfanyabiashara anaokota tu pesa hovyo hovyo ndio maana ni rahisi kumfungia mtu biashara hafu alipe Tena Kodi juu. Nchi hii tukibadili namna ya kufikiria na utendaji tutapiga hatua mbele
Matokeo yake ni kwamba bidhaa zitakuwa zikipinda bei siku kwa siku, na wala hakutakuwa na bei maalum, moja, kwa bidhaa ileile.

Mfanyabiashara aliyekadiriwa kodi ya juu, automatically bidhaa yake itakuwa ghali kuliko yule ambaye amebahatika kupata unafuu wa kodi.

Lazima walaji wa mwisho (consumers) wataumia, na ndiyo sababu umaskini unazidi kuongezeka kwa kasi sana nchini.
 
Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.

Mbwa kabisa
Tanzania ndio taifa pekee ambalo raia wake hawajui wanataka nini,akija mtu wa kupenda haki wanamuita dikteta,akija mtu mpole na asiyefuatilia ipasavyo watumishi wake madhara yakijitokeza pia wanalalamika[emoji4]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Hao maafisa walitaka rushwa Kwa huyo mama, in short hao ma officer ni wahuni na washenz.i na wahujumu uchumi na Hawana utu wangetakiwa wamsaidie, Huwa nawaza why Watanzania tunapenda kukomoana hivi, huyu mama kumfungia kumeharibu uchumi na kuathiri aliowaajiri na kumtegemea, na hao ma officer hawakufikiria kweli multiplier effect yake. Saa ingine watu watumie busara kuangalia mambo Kwa upana faida na hasara then wa negotiate
Tanzania kama nchi imeharibika ( rushwa imekuwa kala haki ya waombaji ), hakuna pa kukimbilia karibia kila taasisi imechafuka. Ofisa wengi wa TRA wanapenda kutishia uhujumu uchumi
 
Matokeo yake ni kwamba bidhaa zitakuwa zikipinda bei siku kwa siku, na wala hakutakuwa na bei maalum, moja, kwa bidhaa ileile.

Mfanyabiashara aliyekadiriwa kodi ya juu, automatically bidhaa yake itakuwa ghali kuliko yule ambaye amebahatika kupata unafuu wa kodi.

Lazima walaji wa mwisho (consumers) wataumia, na ndiyo sababu umaskini unazidi kuongezeka kwa kasi sana nchini.
Ndio maana awamu hii mfumuko wa Bei ni mkubwa kupita maelezo, na hela yenyewe mtaani ngumu kupatikana, magufuli aliweza mno ku control mfumuko wa Bei nchini, ila awamu hii Bora liende, wizara ka ya fedha inabidi ipate waziri mwingine design ya Dr Mpango bila hivo Hali ni mbaya mtaani huku
 
Yaani wewe ni fala kweli, utaacha watu wakufikirie kuwa ni [emoji304] na jamaa alikupitia. Hapa waliokuwa wana makosa ni watumishi wa TRA wataka rushwa hivyo ulitaka huyo Tajiri aliyebambikwa ndio ashughulikiwe? Unapenda kumtaja kwa sifa bwana ako bila kujua hata mantiki ya hoja. Mchizi we!
Mbona una hasira sana?

Si ndio nyie mlikuwa mnamuita Magufuli akiwatumbua hao watumishi wa hovyo mnasema ana wivu na matajiri?

Ngoja mkomeshwe tena muingezewe kodi mara 200 mataahira nyie
 
Mambo mengi ni mazito, Heri kukaa kimya[emoji3][emoji2221]
Wetu wanajua sana kucomment!Taarifa zilizopo yule mama ni Mjanja Mjanja sana!Hivi tangia lini mfanyabiashara amekuwa rafiki wa kodi?

Taarifa za yule Mama zipo wazi sana muda,bahati mbaya ndio mnamsikia leo!Ni tycoon wa michezo ya kumkwepa zakayo!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hao maafisa walitaka rushwa Kwa huyo mama, in short hao ma officer ni wahuni na washenz.i na wahujumu uchumi na Hawana utu wangetakiwa wamsaidie, Huwa nawaza why Watanzania tunapenda kukomoana hivi, huyu mama kumfungia kumeharibu uchumi na kuathiri aliowaajiri na kumtegemea, na hao ma officer hawakufikiria kweli multiplier effect yake. Saa ingine watu watumie busara kuangalia mambo Kwa upana faida na hasara then wa negotiate
Habari , niliku dm ndugu for emergency
 
Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.

Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Magufuri legacy.
 
Haya yote yanaletwa na utendaji mbovu wa TAKUKURU, inakuwaje wanaona watumishi wa TRA wanaukwasi wa kutisha katika muda mchache wa utumishi na wako kimya?
Wangekuwa wanachukua hatua watu wangeacha kula rushwa bila woga
 
Back
Top Bottom