FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ulaaniww kwa kushangili dhulma za TRA mbinguni na ardhini .laanakumAlhamduliLlah najivunia Uislam wangu.
Kujivunia Uislam wangu ndiyo kushangilia dhulma? U mzima kweli?Ulaaniww kwa kushangili dhulma za TRA mbinguni na ardhini .laanakum
Inafika hatua unajiuliza, hii nchi tuna Rais kweli?! Yaani inashangaza kweli!!Mh Rais na viongozi wote kwa ujumla embu tungeni adhabu ya kuwanyonga maofisia wanao fanya mambo yakinyama kama haya kweli huyu mwanamke amefanyiwa haya yote kwa fitina hao walio mtengenezea fitina wanajulikana why kukaa kimya?
Ni kweli, maana wanaweza kukupa mzigi wako, ila ukimaliza kuuza tu, wanakuja kukukamata tena ulipe bilioni 30..TRA: ^Njoo uchukue mzigo wako^
Mama: ^Nangoja hadi nilipe hizo bilioni 30. Au mmeshazilipa tayari?^ haha
Kama taifa kwa sasa Tunafurahia yanga kuingia fainali. Mambo mengine yote hadi 28/5/23 siyo muhimu. Umenisikia au niongeze sauti???Mh Rais na viongozi wote kwa ujumla embu tungeni adhabu ya kuwanyonga maofisia wanao fanya mambo yakinyama kama haya kweli huyu mwanamke amefanyiwa haya yote kwa fitina hao walio mtengenezea fitina wanajulikana why kukaa kimya?
Kwamba utapimiwa mbususu🤣Kuna wanawake wapambanaji sana aisee.
Huyu akiwa mkeo huyu kwakwel sahau habar za yeye kukata kiuno kitandani maana kichwa lazima kiwe kina resi
Lazima uwe Mwakarobo..unapimiwa robo roboo.Kwamba utapimiwa mbususu🤣
Kwa baharia lazima utakuwa unajiiba iba kwenda mechi za ugeniniLazima uwe Mwakarobo..unapimiwa robo roboo.
Sasa imagina mtu ana container zimezuilwa bandari mabilion yanahitajika..
Haya mara akabambikiwa kesi za uhjjum uchumi.
Mara alipe ushuru bilioni 30 sasa huyu mtu hata time ya kuwaza ngono anatoa wapi... hata akibanwa na genye huo muda wa kukata viuno anautoa wapi..kata mwenyeweee 😂😂😂😂
[emoji28][emoji28]ila mkinyimwa Huwa mnatukomoa na kuweka uzibe kwetu kumbe Huwa tuna wa save maisha yenuUkinyimwa Kei unatakiwa ushukuru maana unaongezewa siku za kuishi, maana ukichakata mara moja siku saba zimeondoka hizo....baadhi ya viumbe wakichakata tu na kufa hapo hapo.
Ina maana yote Yana baraka za wakubwaDah mpk saa hii Bado bila bila hakuna aliyefukuzwa kazi TRA....wote wasafi
Bora ingekuwa kuchakata na kufa hapo hapo kukwepa lawama zenu za kila kukicha.[emoji28][emoji28]ila mkinyimwa Huwa mnatukomoa na kuweka uzibe kwetu kumbe Huwa tuna wa save maisha yenu
Hivi naomba niulize Watanzania serikali ni nani serikali ni wewe Mtanzania mwenyewe sasa kwa nini unamwachia kibaka mali yako ambayo ni kodi mtaani kibaka anapigwa na mara nyingine kuchomwa mto au kwa vile hao vibaka mlioajiri wamevaa suti za kupwaya??Tumieni akili Watanzania la sivyo mtapata sana matesoHii nchi yetu officer una mjibu vibaya mtu anayejenga nchi na kukufanya ulipwe mshahara, serikali iweke mazingira mazuri ya kutia moyo wafanyabiashara wasionekane maadui. Na hao ma officer wanavimba vile hupokea rushwa kubwa kubwa tu yani
Hapana ingekuwa kufa hapo hapo ningebaki tu bikra kuepuka kuua watu bureBora ingekuwa kuchakata na kufa hapo hapo kukwepa lawama zenu za kila kukicha.
Wachina wameanza kukimbilia UgandaYaani hapo bandarini ukikataa kutoa rushwa , hata kama ulikuwa na lengo la kulioa kodi sahihi, watakubambikia kodi mara 100 ya kodi halisi ili kukukomoa.., sasa ona mambo kama haya, Vitenge sasa watu wananunua Zambia wakati vimeoita hapohapo bandari yetu, si uchawi huu???!!!
Sasa si ndo ingekuwa njia ya kuendeleza kizazi, kwa hiyo kusingekuwa na namna nyingine.Hapana ingekuwa kufa hapo hapo ningebaki tu bikra kuepuka kuua watu bure
Vitu vingine vigumu kweli unaongeza kizazi Kwa mwingine kufa ? Njia nyingine mbayaSasa si ndo ingekuwa njia ya kuendeleza kizazi, kwa hiyo kusingekuwa na namna nyingine.
Kwa hao viumbe wanaokufa baada ya kuchakata mbona wamezaliana sana zaidi hata ya binadamu, akichakata anazalisha kama elfu moja, akifa mmoja siyo mbaya.Vitu vingine vigumu kweli unaongeza kizazi Kwa mwingine kufa ? Njia nyingine mbaya