EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
- Thread starter
- #21
Private wanatoa profitable education service while serikali wanatoa non profitable education service. Serikali wame invest capital into education service but no return wakati private wamewekeza capital and they get return.Na hapo ndo makosa unayoyafanya, output ni ile.. uwe mwalimu wa private au public.. wote ni wazalishaji kwa sababu huduma wanayotoa ni moja
Unaweza kuniambia fedha ambazo serikali inawekeza kwenye education ya shule ya sekondari na msingi zinarudije, na faida wanapata shilingi ngapi kwa mwaka. Serikali inalipa mishahara na kununua vitendea kazi kila mwaka, hizo fedha zinarudije katika huo mwaka.