Mishahara ilikuwa inachelewa kuanzia mwaka jana kurudi miaka ya nyuma sababu bunge lilikuwa linapitisha bajeti za idara za serikali mwezi wa sita mwishoni hadi transactions kukamilika na kuifikia idara husika zinakua ni process ndefu ambazo hufanya mishahara ichelewa.
Mwaka huu bajeti za idara za serikali zimepitishwa mapema kwa hiyo kutakuwepo na mabadiriko, mishahara itatoka kwa muda ule ule kama unavyochukua miezi mingine. Wakichelewesha ujue ni ukiritimba tu, mishahara yote anaichukua mtu mmoja anaizalisha anaizungusha kwenye biashara, faida anabaki nayo badae ndo mnapewa walala hoi mkiwa na madeni kibao!