Watumishi wa umma mjijenge kisaikolojia, ya Kikwete hayatajirudia milele

Watumishi wa umma mjijenge kisaikolojia, ya Kikwete hayatajirudia milele

TUACHE UWONGO, MBONA WATU HAWACHI KAZI?MBONA WAFANYAKAZI WANAJENGA NA USAFIRI MZURI TENA WA BINAFSI? MBONA GRADUATES WANALILIA HIZI AJIRA AMBAZO MSHAHARA HAUPANDI

Nawasihi watumishi wa umma hamtarejea Tena alipowatoa Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais magufuli amewahisha anguko lenu ambalo kiukweli lilipaswa kuja baada yake. Kimsingi mtaloose kuanzia sasa mpaka kizazi Cha 15 yrs to come hivyo ambao mlikuwa mnalewa anzeni kujenga na kuweka vitega uchumi, hali si hali teeena.

Superbug.
 
Nawasihi watumishi wa umma hamtarejea Tena alipowatoa Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais magufuli amewahisha anguko lenu ambalo kiukweli lilipaswa kuja baada yake. Kimsingi mtaloose kuanzia sasa mpaka kizazi Cha 15 yrs to come hivyo ambao mlikuwa mnalewa anzeni kujenga na kuweka vitega uchumi, hali si hali teeena.

Superbug.

Mimi na nyumba yangu nitamtumainia Bwana, kwa maana Dunia na vyote viijazavyo ni mali ya Mungu. Na kwa kuwa mimi ni mtoto wa Mungu, basi mimi ni mrithi katika mali za Baba yangu.
 
Serikali iweke mikataba ya ajira kwa miaka mitano mitano ili kuwe na exit strategy kwa wale wanaotaka kuondoka kwenye utumishi na kusaidia kuondoa tatizo la ajira kwa vijana....
 
Nawasihi watumishi wa umma hamtarejea Tena alipowatoa Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais magufuli amewahisha anguko lenu ambalo kiukweli lilipaswa kuja baada yake. Kimsingi mtaloose kuanzia sasa mpaka kizazi Cha 15 yrs to come hivyo ambao mlikuwa mnalewa anzeni kujenga na kuweka vitega uchumi, hali si hali teeena.

Superbug.
Ni mapito tu ikishapita awwmu hii tu Hali itakuwa sawa,
 
Mtoa mada ameongea ukweli usiopendwa na wengi ni kweli kabisa enzi za JK hazirudi kwa mifumo anayojenga JPM anzaa na ukusanyaji wa kodi kila kitu kwa electronic waulize wahasibu wa halmashauri kama wanashika pesa kama zamani?Hata gunia la mkaa unapewa risiti ya EFD,Polisi Loss Report tuu ya 500 AU jero unalipa kwa mtandao.Kamimya njia nyingi za wapigaji hivyo mnaojipa matumaini kwamba bado 5 yrs we anza kuweka akiba muda huu na kujitengenezea wewe na wanao kw aajili ya baadae
 
Back
Top Bottom