Watumishi wa Umma, Mmeona Madhara ya kutotizimiza wajibu wenu eneo la kazi? Maumivu ni makubwa mno

Watumishi wa Umma, Mmeona Madhara ya kutotizimiza wajibu wenu eneo la kazi? Maumivu ni makubwa mno

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Nimefuatilia kwa undani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo na Jengo na umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe

Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
 
Nimefuatilia kwa utandani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo la zamani na Jengo Tarajiwa, ilionesha umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

enu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Kila zama na kitabu chake
; hizi ni zama za mafisadi kupeta
 
Nimefuatilia kwa utandani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some m

Dr Megalodon, Otawwa
Nakubaliana nawe 100%
Ila najua siku za nyuma matukio kama haya yalifichwa na kusahauliwa
Mfano, pale karibu na hospitali ya Ibrahim Haji watu walikufa hadi leo kimyaaaa
 
Nani mmiliki wa jengo?

Matatizo ya hii nchi ni kwasababu mifumo imekosewa, na wanasiasa ambao wangetakiwa kubadili hii mifumo sitaki kuwalaumu moja kwa moja, ila inawezekana hata wao hawaoni mifumo imekosewa kwasababu yawezekana labda tunachagua viongozi wengi wasio na uwezo wa kufanya uchambuzi yakinifu wa mambo. Ndo mana hata bungeni ni rahisi ku predict namna hoja zitavyokuwa kwasababu wabunge hawaumizi vichwa kufikiri.

Baadhi yetu sisi tumekuwa tukililia mifumo ya serikali iwe automated na bureaucracy iondoke lakini ni kwamba hakuna anayetusikiliza.

Ingeweza kuwa rahisi kuwa na mifumo ya kufanya post project assessment ya ubora wa majengo pale serikali inavyotoa building permit. Lakini kwasababu mambo hufanyika manually, building permit ikishatolewa ndo hata ile michoro inabaki kuozea kwenye mafaili. Kwahiyo mwisho wa siku mtu anaweza hata kubadili style ya ujenzi na asishitukiwe. Lakini mambo yangekuwa digitized, ingeweza hata kuwa rahisi mtu ukakagua building permit zote za kariakoo pamoja na michoro yote ya majengo hayo. Kitu ambacho kingesaidia assessment ya ubora wa haya majengo
 
Nimefuatilia kwa utandani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo la zamani na Jengo Tarajiwa, ilionesha umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe


Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Kuna jamaa angu alifeli form four...juzi nimeenda Dar amekua tajiri kweli na sasa hivi ni Engineer wa majengo.

NB. Hakuwahi kujiendeleza kielimu Uengineer amejibandikia baada ya kuwa fundi kupitia elimu ya mtaa na hatimaye kuwa mzoefu na connection za kupata tender kubwa ikiwemo za ujenzi serikalini.

Hii ndio Tanzania.
 
Kuna jamaa angu alifeli form four...juzi nimeenda Dar amekua tajiri kweli na sasa hivi ni Engineer wa majengo.

NB. Hakuwahi kujiendeleza kielimu Uengineer amejibandikia baada ya kuwa fundi kupitia elimu ya mtaa na hatimaye kuwa mzoefu na connection za kupata tender kubwa ikiwemo za ujenzi serikalini.

Hii ndio Tanzania.
Huwezi kuilaumu Tanzania as a country. Itabidi tuwe specific kusema ni nani kakosea na anyooshewe kidole.
 
Nimefuatilia kwa utandani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo la zamani na Jengo Tarajiwa, ilionesha umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe


Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Unaweza kuwa na hoja
Lakini uandishi wako wa hovyo Sana
Unachanganya kiingereza na kiswahili NDANI ya sentensi moja hueleweki kabisa
 
Nimefuatilia kwa utandani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo la zamani na Jengo Tarajiwa, ilionesha umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe


Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Wakuchukuliwa wenye maduka nao wanajaza mizigo mingi gorofani. Mizgo mizito ikae kwenye magodown kupunguza risk. Mwisho mfumo wa hii nchi kiutendaji umeoza wakubali wakatae waavhie wengine walete ujuzi. Ufanisi na mbinu mpya. Waliopisha vibaki nk ni hawa hawa watu wa mboga mboga. Hawa watu wakisha pata % zao hawajali kuhusu sisi
 
Upinzani maslahi
 

Attachments

  • IMG-20241117-WA0032.jpg
    IMG-20241117-WA0032.jpg
    118.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom