Watumishi wa Umma, Mmeona Madhara ya kutotizimiza wajibu wenu eneo la kazi? Maumivu ni makubwa mno

Watumishi wa Umma, Mmeona Madhara ya kutotizimiza wajibu wenu eneo la kazi? Maumivu ni makubwa mno

Nimefuatilia kwa utandani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some m
Hoja zako zina mashiko, lakini; Je, ni Serikali gani hiyo ambayo Ina uwezo wa kuwawajibisha hao watu waliozembea au waliokosea hadi kusababisha maafa haya? Serikali hii hii ya CCM au??

Hilo usitarajie. Kwani huko Serikalini ni nani hasa ambaye ni msafi na asiye na makandokando? Serikali yote kabisa imeoza, kama unataka kuwawajibisha hao Wahandisi waliohusika ktk kusababisha ajali hii Basi utakuwa unakosea Sana, labda iwajibishwe Serikali yote kabisa kwa kuilazimisha ijiuzuru, Sasa:Je, suala Hilo linawezekana kutokea hapa Tanzania???
 
Nimefuatilia kwa utandani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some

Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Hebu tuache kwanza watatajana tu japo ukimsikiliza Chalamila na Samia wanavyoongea kuhusu hilo jengo am interested kujua mmiliki wake sio bure.
 
Itaundwa kamati ya kufatilia, watakula per diem na ripoti hatutoiona wala kuisikia
 
Kumbuka nchi inaongozwa na CCM labda kama huyo mmiliki na hao wote wangekuwa chadema ndio hatua zingechukuliwa haraka
Kazi kubwa wanayojua ni kupeleka vitàda vya kubeba maiti na kutoa matamko kama ( Nimeelekeza Wizara Husika ishirikiane na Jeshi la polisi kufanya uchunguzi na wanipe majibu) , maneno kama haya yanatoka over recorded person from oversee, thaï Means vikao vinathamani kuliko uhai wa wananchi wako wanaolipa kodi

Mambo hovyo kabisa kuwa na viongozi wa matamko

I am convinced kuwa Muafrica ni cursed creature
 
Itaundwa kamati ya kufatilia, watakula per diem na ripoti hatutoiona wala kuisikia
Hamna kitu, na kuunda tume ni waste of Time

Majibu yapo wazi kuwa Watanzania wameua watanzania wenzie kwa tamaaa ya fedha huku mamlaka husika zikifanya makusudi

Dereva wa nchi ameshapoteana
 
Nimefuatilia kwa undani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo la zamani na Jengo Tarajiwa, ilionesha umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe

Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Mkuu point yako nzuri sana, lakini kwanini mnapenda kutumia lugha za viraka?

Ulishindwa nini kumwagika kingereza kitupu, kama kiswahili hakipandi sawasawa?
 
Angekuwa CHADEMA angekamatwa siku hiyo hiyo.
Si umeona wale waliomuua Katibu Iringa, chap chap wapo mahahusu sasa hivi

Walio muua kibao hata kuna intention ya kuwafuatilia ?

Hiyo imeisha, binti wa dovya, wahuni wamefumua marinda sana, hata inajulikana imeishia wapi, Kijana soka ?

Tanzania inaongozwq na wahuni
 
Nadhani zikiletwa takwimu za ajali nchini zinatisha, ajali left right and center na zote ni sababu ya uzembe.

Watu wataisha jamani, tukiangazia huko mabarabarani ndio kuna majanga zaidi.
Deep down hata hapo KKO waliokufa ni zaidi ya idadi iliyotajwa
Ni siku ya 3 sasa kuna wazazi wengi wanalalamika watoto zao walikuwa humo hawajaonekana na hawana info zozote juu yao na simu zao hazipatikani

Tangu Jumamosi hadi jumatatu likelihood kuwa wapo hai HAIWEZEKANI

SERIKAL ya CCM IMEIFISADISHA nchi mpaka taifa limekosa direction

Sad enough, wananchi wanalipa kodi na nchi deni lake lime burst, huku dereva analalamika pesa zinaingia kwenye mifuko ya watu; kama hadi dereva analalamika ujue wazi habari ni nzito yakhe
 
Naweza kubaliana na wewe..nina wasi wasi mkubwa kuwa mmiliki wa jengo hili ni mtu mkubwa ndio maana mpaka leo hatajwi. Ingekuwa si hivyo angesha kuwa amekamatwa na blah blah kibao.
KUNA uwezekqno ni yule jamaa wa Singida ndani ya Wizara ya maokoto behind the scenes , ndugu zake wote kawamwaga KKO wapo na mabiashara sana na hilo jengo likelihood ni lao
 
mwafrika ni nyani aliyechangamka,umeshauri vyema lakini mizizi ya uzembe na uwajibikaji umekita kila idara.
Kila idara bila kuwa na chanzo kikuu kinacholea uozo huo?

Mnapenda sana kuuma uma maneno.

Kwani ukisema moja kwa moja Rais huyu kashindwa kuongoza nchi na hatufai, kuna mtu atakuteka!
 
Back
Top Bottom