Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
NASIKIA HAKUNAMshahara wa mwezi August ndio umetoka, swali ni je, kuna jipya mwezi huu?
Tukumbuke mwezi wa 7 hakukuwa na mabadiliko kama ilivyokuwa inatarajiwa.
Karibuni.
Kuna maokoto.Mshahara wa mwezi August ndio umetoka, swali ni je, kuna jipya mwezi huu?
Tukumbuke mwezi wa 7 hakukuwa na mabadiliko kama ilivyokuwa inatarajiwa.
Karibuni.
Leo Leo zitokeSi uangalie kwenye Salary Slip yako?
Hivi sio kama zinakua automatic kama salary ikisoma na Slip inakuja?Leo Leo zitoke
Bongo bado sana.Hivi sio kama zinakua automatic kama salary ikisoma na Slip inakuja?
Inachukuw mda gani?Bongo bado sana.
Baada ya siku 3 au 4 ingawa sometimes inaweza kuwahi.Inachukuw mda gani?
Nilishamuona mtu ni muongo kumbe ni kweli?
Kwa sababu Sio wote wanapata mshahara tarehe mojaHivi sio kama zinakua automatic kama salary ikisoma na Slip inakuja?
Salary slip angalau kuanzia tarehe 27Si uangalie kwenye Salary Slip yako?
Salary slip angalau kuanzia tarehe 27Inachukuw mda gani?
Nilishamuona mtu ni muongo kumbe ni kweli?
Hakuna huko kwenu vipiMshahara wa mwezi August ndio umetoka, swali ni je, kuna jipya mwezi huu?
Tukumbuke mwezi wa 7 hakukuwa na mabadiliko kama ilivyokuwa inatarajiwa.
Karibuni.
Mkuu JF Ina watu kutoka Kila kona🤣🤣🪑Kumbe Kuna watu wanalipwa mshahara humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umefanya nichekee kinges*DP WORLD WAPEWE NA WATUMISHI WA UMMA