Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkonoDP WORLD WAPEWE NA WATUMISHI WA UMMA
Dah! Yaani wewe mwenyewe ni Salary Slip, halafu hujui!! Basi tumuulize na mwenzako SalaryAdvance, labda atakuwa na majibu sahihi.Mshahara wa mwezi August ndio umetoka, swali ni je, kuna jipya mwezi huu?
Tukumbuke mwezi wa 7 hakukuwa na mabadiliko kama ilivyokuwa inatarajiwa.
Karibuni.
Watoto wa baba mmoja.Dah! Yaani wewe mwenyewe ni Salary Slip, halafu hujui!! Basi tumuulize na mwenzako SalaryAdvance, labda atakuwa na majibu sahihi.
Hii nchi watumishi wanatumika tu , na hawajielewi kwamba wanaofaidi ni viongozi katika vyama vyao, wataendelea kulimia meno na maokoto ya elfu 15 au 30 mpaka watakapo jitambua , wengi hata senti hawajapata eti kisa walipandishwa sijui vyeo mwezi uliopita,Mshahara wa mwezi August ndio umetoka, swali ni je, kuna jipya mwezi huu?
Tukumbuke mwezi wa 7 hakukuwa na mabadiliko kama ilivyokuwa inatarajiwa.
Karibuni.