Kweli mwana...yaani kama una mpunga bwana raha sana kuishi nchini kwako bwana. Huko unaenda kutembea tuuNapenda sana kuwa free, kwenye nchi za watu unaishi kama digidigi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mwana...yaani kama una mpunga bwana raha sana kuishi nchini kwako bwana. Huko unaenda kutembea tuuNapenda sana kuwa free, kwenye nchi za watu unaishi kama digidigi...
Naenda mwenyewe man...Mchumba anakuzuia kutimiza ndoto zako. Ungesema hta mke hobi. Kwa HYo jamaa Kasanda haendi tena. Waenda mwenyewe tu?
Hapana, juzi tulikuwa na online seminar, wamesema Wana hope mwezi wa 9 (kuufunguliwa kwa vyuo) mambo yatakuwa poa.Kwasasa scholarship za China utasoma online
Ni FULL FUNDED SCHOLARSHIP.Scolarship then familia itakula nini
Tatizo Halmashauri uliyopo watakuruhusu?Una hama ila sio mjini.
Mkihamia wotee mjini, nani atahudumia vijijini?
#YNWA
Siku nyingi wakati cheti kina-expire kila baada ya miaka miwili.Mambo ya language testing nilishamaliza siku nyingi sana
Naipenda sana elimu ya Ulaya na America
Niende kusoma Asia wakati wao wanakimbilia ulaya kila siku kusoma
Kuniruhusu kuhama?Tatizo Halmashauri uliyopo watakuruhusu?
Kwa hiyo sisi wenye umri zaidi ya miaka 40 ndiyo hatuna chetu!Halo JF .....
Mwaka jana mwezi wa 10 Wizara ya Utumishi wa Umma ilitoa Tangazo la maombi ya Scholarship kwa Masters na PhD kwa watumishi wa Umma.
Kilichonishangaza ni kwamba tarehe 04/04/2022 Wizara Imeweka tena tangazo.
Hii inaonyesha na kutafsirisha kwamba Watumishi wa Umma hawakuomba ili Wizara ipate wa kutosha.
Sasa ndugu zangu Watumishi wenzangu wa Umma hebu apply-ini kwa wingi tafadhali.
Maana huko duniani Tz tunatafsirika watu wasiopenda kuchangamkia fursa za ajira na masomo huko nje.
Na kizuri zaidi hii scholarship haihitaji cheti cha kingereza (TOEL).
Link 👇👇👇
Haya tushambulie fursa hizii.
Ukipata Tangazo hili basi mjulishe na mtumishi mwenzio..!!!
NB:-
Kwa watakao kwama mnakaribishwa PM japo CONSULTATION FEES itahusika tafadhali...!!!
*Am an expert in these matters.
#YNWA
Hiyo ni general ila pia wamesema kila chuo na qualification zake.Kwa hiyo sisi wenye umri zaidi ya miaka 40 ndiyo hatuna chetu!
Kwa hiyo sisi wenye umri zaidi ya miaka 40 ndiyo hatuna chetu!
Mapenzi yanarun dunia,me mr alivyoleta habari za au niache nkamwambia acha hizo we nenda skuli nkamsaidia na kupack begiNaenda mwenyewe man...
Jamaa kasema ame-discuss na familia yake (wazazi) + huyo mchumba then kaona kwasasa akomae tu kutengeneza familia.
Nimemuonea huruma na kumuona faler balaaa.
Kipindi cha application alinisumbua sanaa then leo hii analeta huu ujinga.
#YNWA
Hongera yako mume alipata mke Bora.Mapenzi yanarun dunia,me mr alivyoleta habari za au niache nkamwambia acha hizo we nenda skuli nkamsaidia na kupack begi
Walimu msingi ni Public Servants.Hiki kipengele kimewazibia wengi..... It means Walimu wa msingi na sekondari hawawezi kuomba... View attachment 2182852
Mbona waziri na makatibu wakuu wapo mjini?..kwani vijijini hakuna maisha?si waende huko waonyeshe mfano.Una hama ila sio mjini.
Mkihamia wotee mjini, nani atahudumia vijijini?
#YNWA
😂😂😂Mbona waziri na makatibu wakuu wapo mjini?..kwani vijijini hakuna maisha?si waende huko waonyeshe mfano.
#MaendeleoHayanaChama
Halo JF .....
Mwaka jana mwezi wa 10 Wizara ya Utumishi wa Umma ilitoa Tangazo la maombi ya Scholarship kwa Masters na PhD kwa watumishi wa Umma.
Kilichonishangaza ni kwamba tarehe 04/04/2022 Wizara Imeweka tena tangazo.
Hii inaonyesha na kutafsirisha kwamba Watumishi wa Umma hawakuomba ili Wizara ipate wa kutosha.
Sasa ndugu zangu Watumishi wenzangu wa Umma hebu apply-ini kwa wingi tafadhali.
Maana huko duniani Tz tunatafsirika watu wasiopenda kuchangamkia fursa za ajira na masomo huko nje.
Na kizuri zaidi hii scholarship haihitaji cheti cha kingereza (TOEL).
Link [emoji116][emoji116][emoji116]
Haya tushambulie fursa hizii.
Ukipata Tangazo hili basi mjulishe na mtumishi mwenzio..!!!
NB:-
Kwa watakao kwama mnakaribishwa PM japo CONSULTATION FEES itahusika tafadhali...!!!
*Am an expert in these matters.
#YNWA
Nilishagoma kusoma ASIA kabisa
Unaenda kusoma halafu ukirudi unakuta deni heslb. Hizi scholarship za utumishi ngumu kumeza mno.