Watumishi wa Umma, Rais Magufuli kawasahau tena?

Watumishi wa Umma, Rais Magufuli kawasahau tena?

Liverpool_Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2019
Posts
1,220
Reaction score
1,415
Kutoka kwenye hotuba ya bajeti kurasa ya 160...
• Bajeti kwa ujumla wake imeongezeka kwa Tril. 1 na point
• Bajeti ya matumizi ya mshahara imepungua kwa asilimia 1%.. Kutoka 23% mpaka 22%

Hii ina maanisha HAKUNA ONGEZEKO hata lile LA kisheria ""ANNUAL INCREMENT""

Ila nakumbuka mwaka 2018 kwenye sherehe za Mei mosi akiwa Iringa alihadi ongezeko kuu kabla ya yeye kuondoka. Alisema yeye hatoongeza visenti ila kwenye muda wake ataweka mzigo mkubwa hasaa.

Sasa huu si ndio mwaka wa uchaguzi ambao unaweza kutafsiriwa kama ni mwaka wake wa mwisho?

KWANI HAZITAKI KURA ZA WATUMISHI WA UMMA?

#YNWA
 
Watumishi ni Laki 5 kwa ujumla...jumla ya wapiga kura ni zaidi ya million 20 nahc anaona hata msipompa kura zenu wakulima na wengine waliobak watampa[emoji848]
 
Anasema mda wake kuondoka Bado labda anamanisha 2024
 
Watumishi ni Laki 5 kwa ujumla...jumla ya wapiga kura ni zaidi ya million 20 nahc anaona hata msipompa kura zenu wakulima na wengine waliobak watampa[emoji848]

Ndiyo akili za Watanzania hizi, mmoja anapopata tabu mwingine anafurahia! Bora turudi Tanganyika tu pengine kina Bibi Titi wanaweza kuzaliwa tena 😂😂😂
 
Kwan 2034 imefika mkuu tuwe wavumilivu bado miaka 14 atapandisha tu
 
Mkuu Mimi nafirikiri kupunguzwa kwa Kodi ya mishahara kwa watumishi inaweza kusaidia hata mishahara isipoongezwa au uelewa wangu ni Mdogo hapo.

Mfano

Mshahara wa million 1 makato kutoka 30% mpaka 20%

Mshahara wa laki 9 mpaka laki 6.5
Makato kutoka 15% mpaka 5%

Mshahara wa laki 6 mpaka Tsh. 50000 makato kutoka 10% mpaka 0%.

Kama nimeelewa vibaya naweza kueleweshwa vizuri.
 
Shetani ni baba wa uongo.
Hebu mwacheni Rais watu kipenzi achape kazi, mwisho wa uongozi wake ni October 2020 pindi atakapotangazwa Rais mwingine.
Msianze kumsumbua kwani hajamamaliza bado
 
Mkuu umevurugwa utumishi wa uma na MMU vinahusianaje?

Au umenyimwa unyumba [emoji4]
Kwani wanaohonga mademu wa MMU si watumishi wa umma...
Mtumishi akiwa na hali mbaya michepuko lazima iwe taabani..!!

#YNWA
 
  • Thanks
Reactions: amu
Akiongeza 2024 atakua ni MCHAWI! anamwachia zigo la mishahara mikubwa mrithi wake ili ashindwe kufanya miradi ya maendeleo. Ni uzandiki wa hali ya juu.
Kuna muda tunalazimika kulipa madeni hata ambayo hatujakopa mkuu. The same hata kwa utawala. Mimi Kuna Deni nililipa while sikukopa Sijui Kama nitasahau kwa kweli.
 
Kwani wanaohonga mademu wa MMU si watumishi wa umma...
Mtumishi akiwa na hali mbaya michepuko lazima iwe taabani..!!

#YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila mshkaji umenichekesha sana.
Twende tukavune mapaachichi tuwaache na mambo yao
 
Mkuu Mimi nafirikiri kupunguzwa kwa Kodi ya mishahara kwa watumishi inaweza kusaidia hata mishahara isipoongezwa au uelewa wangu ni Mdogo hapo.

Mfano...
Sijasema kushushwa kwa kodi ya PAYE nimesemea BASIC SALARY.
Ambayo inamtofautisha kati ya TGSC1 na TGSC2.

Hiyo kodi inahusu wafanyakazi wotee wa nchi (private + government).

Mi nasemea ile increment ya kuwapa watoto wake (watumishi wa umma) ambayo kikwete Mara ya mwisho alitoa 80,000 kwa kima cha chini na huku akashusha PAYE kutoka 13% mpaka 11%.

#YNWA
 
Back
Top Bottom