Watumishi wa umma tuache kelele, Serikali inatupenda sana

Watumishi wa umma tuache kelele, Serikali inatupenda sana

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Morning!

Serikali inatupenda sana watumishi wa umma. Hebu vuta picha ni upendo kiasi gani serikali imefanya kwa watumishi wa umma.

Ninaposema Serikali, namaanisha viongozi wakuu kuanzia Rais, mawaziri mpaka wabunge wamekubali hii neema ya kikokotoo iwe kwetu watumishi huku wao wako tayari kuishi maisha magumu baada ya kustaafu🤣🤣🤣🤣

Hiki kikokotoo kinaleta maisha mazuri kwa wastaafu, kimeshaanza kufanya kazi hebu tembeleeni wastaafu walionza kupata neema ya kikokotoo muone upendo wa serikali.

Tembeleeni pia wastaafu (wanasiasa) ambao hawajaguswa na neema hii ya kikokotoo muone wanavyohangahika na ugumu wa maisha.
😂😂😂😂
 
Morning!
Serikali inatupenda sana watumishi wa umma. Hebu vuta picha ni upendo kiasi gani serikali imefanya kwa watumishi wa umma. Ninaposema Serikali, namaanisha viongozi wakuu kuanzia Rais, mawaziri mpaka wabunge wamekubali hii neema ya kikokotoo iwe kwetu watumishi huku wao wako tayari kuishi maisha magumu baada ya kustaafu.
Hichi kikokotoo kinaleta maisha mazuri kwa wastaafu, kimeshaanza kufanya kazi hebu tembeleeni wastaafu walionza kupata neema ya kikokotoo muone upendo wa serikali.
Tembeleeni pia wastaafu (wanasiasa) ambao hawajaguswa na neema hii ya kikokotoo muone wanavyohangahika na ugumu wa maisha
Nywanoko ube
Morning!
Serikali inatupenda sana watumishi wa umma. Hebu vuta picha ni upendo kiasi gani serikali imefanya kwa watumishi wa umma. Ninaposema Serikali, namaanisha viongozi wakuu kuanzia Rais, mawaziri mpaka wabunge wamekubali hii neema ya kikokotoo iwe kwetu watumishi huku wao wako tayari kuishi maisha magumu baada ya kustaafu.
Hichi kikokotoo kinaleta maisha mazuri kwa wastaafu, kimeshaanza kufanya kazi hebu tembeleeni wastaafu walionza kupata neema ya kikokotoo muone upendo wa serikali.
Tembeleeni pia wastaafu (wanasiasa) ambao hawajaguswa na neema hii ya kikokotoo muone wanavyohangahika na ugumu wa maisha
Nywanina ube
 
mwananchi_official-20240527-0001.jpg
 
Kwa kweli serikali inawapenda ssna watumishi wa umma.Hata mwaka huu wasipopanda madaraja,wajue kuwa serikali 8nahangaika usiku na mchana.
Achilia mbali wale ambao wana madainya likizo na uhamisho ya miaka na miaka katika halmashauri.Pamoja na kwamba kila mwaka.bunheni serikali 8nasema imetemga bajeti za kuwalipa nanhaiwalipi,watambue tu kuwa serikali ninsikivu mno kuliko wanavyodhani.
 
Morning!

Serikali inatupenda sana watumishi wa umma. Hebu vuta picha ni upendo kiasi gani serikali imefanya kwa watumishi wa umma.

Ninaposema Serikali, namaanisha viongozi wakuu kuanzia Rais, mawaziri mpaka wabunge wamekubali hii neema ya kikokotoo iwe kwetu watumishi huku wao wako tayari kuishi maisha magumu baada ya kustaafu🤣🤣🤣🤣

Hiki kikokotoo kinaleta maisha mazuri kwa wastaafu, kimeshaanza kufanya kazi hebu tembeleeni wastaafu walionza kupata neema ya kikokotoo muone upendo wa serikali.

Tembeleeni pia wastaafu (wanasiasa) ambao hawajaguswa na neema hii ya kikokotoo muone wanavyohangahika na ugumu wa maisha.
😂😂😂😂
Kabisa mkuu, yani wale wasioguswa na kikokotoo wakimaliza ajira zao wanakuwa na maisha amgumu sana. Tazama wabunge wastaafu wana maisha magumu kuliko wale walimu wastaafu. Naunga mkono hoja huu ni upendo wa kiwango cha juu
 
Kabisa mkuu, yani wale wasioguswa na kikokotoo wakimaliza ajira zao wanakuwa na maisha amgumu sana. Tazama wabunge wastaafu wana maisha magumu kuliko wale walimu wastaafu. Naunga mkono hoja huu ni upendo wa kiwango cha juu
Wabunge wastaafu wana maisha magumu sana. Huenda kikokotoo kingewaokoa kama serikali ingewajali kama watumishi wengine
 
Kwa kweli serikali inawapenda ssna watumishi wa umma.Hata mwaka huu wasipopanda madaraja,wajue kuwa serikali 8nahangaika usiku na mchana.
Achilia mbali wale ambao wana madainya likizo na uhamisho ya miaka na miaka katika halmashauri.Pamoja na kwamba kila mwaka.bunheni serikali 8nasema imetemga bajeti za kuwalipa nanhaiwalipi,watambue tu kuwa serikali ninsikivu mno kuliko wanavyodhani.
Hata haiwapendi ,kama ingekuwa inawapenda hilo ongezeko la mshahara kwa wabunge lingeelekezwa kwenye ujenzi wa miundo mbinu muhimu zinazo wasaidia wafanye kazi vizuri
 
Morning!

Serikali inatupenda sana watumishi wa umma. Hebu vuta picha ni upendo kiasi gani serikali imefanya kwa watumishi wa umma.

Ninaposema Serikali, namaanisha viongozi wakuu kuanzia Rais, mawaziri mpaka wabunge wamekubali hii neema ya kikokotoo iwe kwetu watumishi huku wao wako tayari kuishi maisha magumu baada ya kustaafu🤣🤣🤣🤣

Hiki kikokotoo kinaleta maisha mazuri kwa wastaafu, kimeshaanza kufanya kazi hebu tembeleeni wastaafu walionza kupata neema ya kikokotoo muone upendo wa serikali.

Tembeleeni pia wastaafu (wanasiasa) ambao hawajaguswa na neema hii ya kikokotoo muone wanavyohangahika na ugumu wa maisha.
😂😂😂😂
Ni kweli kuna mzee amefanikiwa kununua boda boda mbili,baada ya kustaafu kitu ambacho zamani ilikuwa haiwezekani.
 
Ni kweli kuna mzee amefanikiwa kununua boda boda mbili,baada ya kustaafu kitu ambacho zamani ilikuwa haiwezekani.
Ehehhehe 😂😂😂😂
Mpambe: Mtume kuna muujiza huku
Mtume: Nini kimetokea?
Mpambe: Mstaafu kanunua bodaboda mbili na kabakiwa na milioni 2 cash.
 
Morning!

Serikali inatupenda sana watumishi wa umma. Hebu vuta picha ni upendo kiasi gani serikali imefanya kwa watumishi wa umma.

Ninaposema Serikali, namaanisha viongozi wakuu kuanzia Rais, mawaziri mpaka wabunge wamekubali hii neema ya kikokotoo iwe kwetu watumishi huku wao wako tayari kuishi maisha magumu baada ya kustaafu🤣🤣🤣🤣

Hiki kikokotoo kinaleta maisha mazuri kwa wastaafu, kimeshaanza kufanya kazi hebu tembeleeni wastaafu walionza kupata neema ya kikokotoo muone upendo wa serikali.

Tembeleeni pia wastaafu (wanasiasa) ambao hawajaguswa na neema hii ya kikokotoo muone wanavyohangahika na ugumu wa maisha.
😂😂😂😂
Wao, naipenda sana serikali yetu.
 
Back
Top Bottom