Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma tuiondoe CCM madarakani

ccm sio machinga sio nani nyie sera zenu kutufanya masiki ili uwe mtaji wenu kisiasa makundi yote tumestuka jiandae kuachia lissu ikulu mlifiki lissu awatania kurudi nyumba mkazidisha ukandamizaji sasa kaisha fika Disco kaingia masai
Umasikini ni mipango ya Mungu ama nawezasema umasikini upo kwenye roho ya mtu.
watu wanapiga pesa ndefu kilasiku na watu wanakula bata mwanzo mwisho.yard za magari kila siku magari yananunuliwa na mengine yanaingia kutoka europe na asia,

kwenye show za miziki ama michezo kuna tiketi za vip za mpaka laki tano na zinaisha baada ya masaa machache tu na watu bado wanazitaka.
watanzania wengi tu wanamiliki smart phones na kilasiku wanaweka vocha.
acha kulalama bwashee tafuta pesa.kama huna conection sema usaidiwe.
 
Juzi si naskia mmeongezewa mishahara?

Au ulkua uzushi .
 
Vyama wa wafanyakazi Kama vile targwa na cwt Kazi yao kubwa ni Nini?
Anzeni na hao Kwanza kwani wanakula pesa za mishahara yenu bure hakuna kazi wanafanya.
Wao wanajua mzizi wa fitina ulipo wewe si wakuwaekekeza
 
Mkuu Magacha, una hoja ya msingi lkn ila madai yenu watumishi umma ni sawa kabisa na kushindikana kwa ujenzi wa mnara wa Babeli. Wakati baadhi yenu mkiwa na hisia chanya juu ya uonevu mnaotendewa, yaani mnazungumza lugha moja.

Miongoni mwenu wapo wenye kuzungumza lugha iliyokuwa tofauti na nyinyi ijapokuwa wote mnapigika. Ebu waangalie watumishi kama vile wa TBC, polisi na wanasiasa wengine wenye ajira serikalini, hao kwa namna yoyote ile hawawezi kusikilizana na lugha yenu yenye kila namna ya mantiki na ukweli uliokuwa wazi.
 
Mwenye nchi alishawaambia wafanyakazi kuwa kama mnaona mishahara midogo nendeni mkalime kwani yapo mapori mengi sana Tanzania.
Mwenye nchi nani? huyo akipita kwenye target, single bullet anaondoka bila kelele
 
Tupo laki tano nukta 5 ongeza wategemezi laki 5 tunapata 1 milioni point 5 ongeza vijana jobless mitaani kama million 1.5 tunapata 3 kura hizi zikitua kwa CHADEMA ccm mtanyooka tu mwaka huu

Na bado hatujafanya manuva kama maafisa wa Tume
Kushinda uchaguzi kunahitaji mipango yenye uhalisia na sio ndoto za Alinacha. Na ndio maana rahisi kupiga mayowe ya kuwa kura zimeibwa. Angalia kiulaini kabisa kura zote za watumishi na familia zao umesombea kwako kwa nguvu na umeamini uko sahihi.
 
CCM hapana aisee mi naiona Kama kikundi Cha kigaidi .
 
Wanalalamika ambao wameanzia TGHS -E mwaka 2008, unalinganisha na askari polisi anayepata mshahara wa 400,000/=? Hao hawajitambui tu, hivi wangekuwa na hela si wangeweza kupanga hata nyumba za 60,000/= lakini nazo zimewashinda wanakaa nyumba kama banda la kuku huku vyoo vikiwa vimajaa. Vyumba vyenyewe mtu mnene hageuki tapu tupu.
 
Tangu mwaka 2000 nilipokuwa na uwezo wa kupiga kura kisheria. SIJAWAHI KUIPIGIA KURA CCM na nguo za kijani sijawahi kuvaa na mikutano yao sijawahi kuhudhuria.
Mwaka huu hakuna kuwasaidia ccm kuchakachua kura halali za wananchi. Wajifunze kusimama wao kama wao.

Mtumishi yoyote wa umma atakayeshiriki zoezi haramu la kuchakachua kura za wananchi alaaniwe yeye na uzao wake wote.
 
Kama wewe hujapata increment ni kwa sababu ya ku underperform kwako. Sisi tulipata na tukapandishwa madaraja kwa sababu ya kufanya kazi kwa juhudi na maarifa. Pambana na hali yako.
Punguza uzwazwa na ulimbukeni.
Ajira za 2014 na 2015 ni nan kapandishwa Daraja Tz hii?
Sio kila kitu lazima useme uongo haukusaidii chochote.
 
Hii ni akili au matope. Muondoe muajiri wako halafu uone utakula wapi. Kapuku wewe jenga vyanzo vya mapato uoate hela ya kutosha. Kama kazi ya serikali huipendi acha. Hujalazimishwa. Mnafiki mkubwa wewe.
 
Tangu mwaka 2000 nilipokuwa na uwezo wa kupiga kura kisheria. SIJAWAHI KUIPIGIA KURA CCM na nguo za kijani sijawahi kuvaa na mikutano yao sijawahi kuhudhuria.
Kwani umelazimishwa?
Ni kwa hiari yako mwenyewe.
Unao uhuru kamili wa kuchagua nini unataka
Kama hujawahi kuwa na mpenzi pia tueleze.
Kama hujawahi kusafiri nje ya nchi pia tueleze.
Pia kama hujawahi kupanda ndege tuambie.
Kama pia wewe domo zege tuambie
 

Sure mkuuu kwa kuendelea kuongeza petroli kwenye moto mkali
 
Kila la kheri
 
Kama wewe hujapata increment ni kwa sababu ya ku underperform kwako. Sisi tulipata na tukapandishwa madaraja kwa sababu ya kufanya kazi kwa juhudi na maarifa. Pambana na hali yako.
Labda unafanyia serikali ya msumbiji mwenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…